Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
I feel sorry for Mr Raila odinga that he's not going to win this election actually his father was unlucky against the Mafia Jomo Kenyatta and him also is unlucky as this election going to be five in row without winning.
 
Bado takribani vituo 40,000 matokeo hayajehasabiwa kuwa mpole,Odinga atamucha Ruto mbali sana.
Na mbaya zaidi vituo vilivyohesabiwa Vingi ni ngome ya Ruto
 
Usilinganishe Tanzania na nchi yenye ukabila kama Kenya. Tanzania in habari nyingine. Tena ukome kabisa.
 
Mzee acha ujinga tukiwa na system inayojitegemea ya tume na polling hakuna nzi wa CCM ataibuka mshindi. CCM itakutana na a very sharp downfall.

Tuachane na makaratasi uone.

Chama cha upinzani kinaweza anzishwa na kikaungwa mkono na wananchi vizuri tu. Ila sio kama CHADEMA ambao mchana wanaikandia CCM usiku wanakula pamoja chakula cha usiku Kempinski Hotel wakiwang'ong'a wananchi.
 
Well after this Election Odinga must accept the fact that he and his father are unluckiest people ever to be elected as president in Kenya.
 
Utatembea uchi na kujiua kwa bangi zako Utatembea uchi kwa bangi na viroba unavyokunywa na sio matokeo ya uchaguzi wa Kenya
 
Angalau kuna uchaguzi wa huru na haki. Ukifuatilia Tv zote za Kenya hilo la kutendeka kwa haki katika uchaguzio linajitokeza maana almost kila kituo kuna media huru inatangaza live!
Tanzania ikifikia uchaguzi unafanywa namna hii kama Kenya online with real time information then ndio ntainuka kwenda kupiga kura yangu.

Vinginevyo siwezi hangaika na kujichosha na uchaguzi feki halafu media zinasisitiza eti uchaguzi ni haki ya kumchagua raisi umpendaye.
 
Mambo yanaelekea kubadilika tofauti na hapo kabla kumuona rais ajae Raila Omolo Odinga na sasa ni Samoei Ruto ndie anaongoza .bad news zaidi kwa kambi ya Raila ni Jimbo La Rais anaemaliza muda Wake Kenyatta kushinda mbunge wa Chama cha Ruto
 
Pamoja na kuniita mjinga hiyo ndio point yangu kwamba vyama vya upinzani vilivyopo sasa Tanzania havieleweki lakini tukipata chama mbadala wa CCM Mimi nitakuwa wa kwanza kukiunga mkono. Ukweli ni kwamba CCM ilishachoka lakini tumpe nani sasa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…