Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,667
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana .... umeelezea vizuri mnoo . Watu wengi hawamjui Rutto kabisaIla huyu Ruto watanzania tutakoma. Kile kiburi chetu cha kugoma kuwauzia mahindi sijui kitaendelea vipi. Ruto inasemekana ni mkulima wa mahindi mkubwa sana ameshika maeneo Kongo DR na anajinasibu watanzania tukigoma stock anayo. Shida inakuja atayapitishia wapi maana Uganda my wetu anaweza mbania sana. Natamani JPM angekuwepo nikashuhudia ligi ya JPM na RUTO hakika tungekunjana mashati na wakenya day uno. Nawasi wasi PAKA yeye atamsapoti Ruto ambaye namuona ni Muhima kutoka Rift Valley.
Wakenya wameamua kumpa mkuuRuto huyu alitewatukana wakongo juzi serikali ikamkana ndio anamilik mashamba ya mahindi Kongo!?
Na hatukusikia ishu za mahindi Kongo.
Ona tulivyoyasubiri matokeo kwa hamu..Tuliambiwa Tanzania tuige uchaguzi wa Kenya
Nipo najifunza ili tuige.
Na suti leo alivaa lakini wapiHuyu baba apumzike sasa aisee..
Toka nazaliwa nasikia anagombea urais.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kwamba alikuwa anamchezea shere Baba 🤣🤣🤣Walahi kwnyatta ni masta😂😂😂
Sina tatzo na ushindi wake kuna mtu amesema anamiliki hekta za mashamba ya mahindi Kongo najiulza anapata ujasiri wakumilik ardhi Kongo .Wakenya wameamua kumpa mkuu
Jamaa ana mwili mkubwa na akili kisoda na hajui maana ya kutokuingilia siasa za ndani za nchi nyingine ndio hizi Sasa [emoji1][emoji1][emoji1].Odingo oyeeeeeeee [emoji1][emoji1]Ila huyu Ruto watanzania tutakoma. Kile kiburi chetu cha kugoma kuwauzia mahindi sijui kitaendelea vipi. Ruto inasemekana ni mkulima wa mahindi mkubwa sana ameshika maeneo Kongo DR na anajinasibu watanzania tukigoma stock anayo. Shida inakuja atayapitishia wapi maana Uganda my wetu anaweza mbania sana. Natamani JPM angekuwepo nikashuhudia ligi ya JPM na RUTO hakika tungekunjana mashati na wakenya day uno. Nawasi wasi PAKA yeye atamsapoti Ruto ambaye namuona ni Muhima kutoka Rift Valley.
kongo DR ni kama muembe wako wa uani ukitaka kuchuma maembe unachuma huna hela tuu ila wenye hela chafu kongo DR wanaichezea mbele na Nyuma na hata wakongoman wametulia kama hawapo vile wanaanzishiwa migogoro wanachapa wao kwa wao wenzao wanajichotea tuuRuto huyu alitewatukana wakongo juzi serikali ikamkana ndio anamilik mashamba ya mahindi Kongo!?
Na hatukusikia ishu za mahindi Kongo.
Kwamba alikuwa anamchezea shere Baba 🤣🤣🤣Walahi kwnyatta ni masta😂😂😂
Hahah ukishaona tu story za INASEMEKANA jua tayari hio Ni chai ya motooooo.Ruto huyu alitewatukana wakongo juzi serikali ikamkana ndio anamilik mashamba ya mahindi Kongo!?
Na hatukusikia ishu za mahindi Kongo.
Sidhani kama ni tatizo kwenda kulima nchi jiraniSina tatzo na ushindi wake kuna mtu amesema anamiliki hekta za mashamba ya mahindi Kongo najiulza anapata ujasiri wakumilik ardhi Kongo .
Kongo DR ni shamba la bibi sema mimi na ww hatuna pesa chafu tungekuwa nazo saa hii tungekuwa PARIS tunagonga mvinyo huku tukituma transactions makamanda walio msituni wanatuchotea mali. Hatuna hela mkuuSina tatzo na ushindi wake kuna mtu amesema anamiliki hekta za mashamba ya mahindi Kongo najiulza anapata ujasiri wakumilik ardhi Kongo .
Kongo DR ni shamba la bibi sema mimi na ww hatuna pesa chafu tungekuwa nazo saa hii tungekuwa PARIS tunagonga mvinyo huku tukituma transactions makamanda walio msituni wanatuchotea mali. Hatuna hela mkuuSina tatzo na ushindi wake kuna mtu amesema anamiliki hekta za mashamba ya mahindi Kongo najiulza anapata ujasiri wakumilik ardhi Kongo .