lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,661
- 26,457
Sidhani. Kenyatta hakuwa anachukiwa kiasi hiki. Wakikuyu ndiyo wamesababisha. Angekuwa ni mkikuyu mwenzao wangempigia kwa wingi. BTW ujue kilichofanya matokeo yawe hivyo ni watu hasa vijana kutojitokeza kwa wingi kupiga kura.
Mkuu, iliyokuwa inachukiwa ni serikali yake na kupanda kwa gharama za maisha, kama ilivyokuwa Tanzania, hakuna mtu anamchukia Samia ila ni hali iliyopo.
Sasa wewe ambaye tunaamini umetuletea maisha magumu leo hii unatuletea mtu na unataka tumuunge mkono umuachie kijiti, huoni kama tutammalizia hasira na tutachagua wa upande wa pili?
Na hao ambao hawakujitokeza kupiga kura pia ni hasira dhidi ya serikali yake, ambayo pona ya Ruto ni ile kuonesha hayupo pamoja nayo.
Uliona hapo mwishoni watu wa Raila wanamlazimisha Uhuru aingilie kati,hapo ndipo walishtuka mtoto wa mjini hayupo nao.
Huu mchezo wa UhuRuto utatumiwa pia na Museveni na kijana wake Kainerugaba.😂
Sasa wewe ambaye tunaamini umetuletea maisha magumu leo hii unatuletea mtu na unataka tumuunge mkono umuachie kijiti, huoni kama tutammalizia hasira na tutachagua wa upande wa pili?
Na hao ambao hawakujitokeza kupiga kura pia ni hasira dhidi ya serikali yake, ambayo pona ya Ruto ni ile kuonesha hayupo pamoja nayo.
Uliona hapo mwishoni watu wa Raila wanamlazimisha Uhuru aingilie kati,hapo ndipo walishtuka mtoto wa mjini hayupo nao.
Huu mchezo wa UhuRuto utatumiwa pia na Museveni na kijana wake Kainerugaba.😂