Kiukweli alishinda ila tatizo ni wanaogopa kumpa nchi maana hata hawezi kujisimamia mwenyewe anapelekwa pelekwa ila ruto anajipeleka anajiamini raila hajiamini nimeona maxi tokea mwanzo hadi mwisho ila mmh kupitwa ni imagination tricks .
Ila ndio siasa nampenda RUTO pole RAILA ukapumzike umechoka kuingizwa chaka kila matokeo ya uraisi