Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Pale Kibra constituency Kuna Uhuni.
.
It's been discovered that there was a mixup between Senatorial na MCA ballot boxes.
.
All people who've voted put their ballots in wrong boxes for these 2 positions.
.
Standoff as one voter insists kura yake itolewe iwekwe in the rightful box. Voting has stopped.
.
Voters bana blaming the young IEBC officials for spending time on phones.[emoji3526][emoji3526][emoji3526]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Labda huo uchaguzi usiwe wa maigizo, kama demokrasia ikiheshimiwa ruto anashinda mapema tu, ila kama uchaguzi utakuwa wa magumashi kwa kuwa aliyepo kitini anampigia kampeni yule mwingine akiamua kufanya manuva atafanya tu kwa kuwa nguvu bado anazo. Demokrasia aiachwe ichukue mkondo wake
Sasa Mkuu uchaguzi wa Nchi gani hapa Duniani hauna maigizo?
 
Labda huo uchaguzi usiwe wa maigizo, kama demokrasia ikiheshimiwa ruto anashinda mapema tu, ila kama uchaguzi utakuwa wa magumashi kwa kuwa aliyepo kitini anampigia kampeni yule mwingine akiamua kufanya manuva atafanya tu kwa kuwa nguvu bado anazo. Demokrasia aiachwe ichukue mkondo wake
Upo sahihi kabisa
 
Low voter turnout central-who stands to benefit ? Your guess is as good as mine.
 
NB: Kura bado zinaendelea kuhesabiwa lakini kwa hapa utaweza kuona muelekeo wa vipi mambo yanaenda.

---> County ya PRISON

20220809_200840.png
 
Back
Top Bottom