@Maghayo unaona hii comeback?Odinga anaongoza
ni super comeback.kutokea nyuma kwa kura m1 mpaka kuongoza!Baba mbele kwa mbele sasa View attachment 2320071
[emoji1][emoji1][emoji1]Raila odinga has got his size hahahaaa if this old man will fail again then he should go washing his body on the middle of the ocean.
Ndò imeshafika ivo..Itarudi mpaka sifuri na ataanza kukimbizwa.Kisumu bado haijaitika hapo
Cant believeRutto kapigwa na kitu kizito Raila yuko mbele kura elfu 10🤔
Atapata next time,umri bado unamruhusu.Hata wenzie wamepoteza mara kibao huko nyumaActually it'll be very sad day to me if the hustler William Ruto will be failing to win this Election.
[emoji3][emoji3][emoji3]Raila odinga has got his size hahahaaa if this old man will fail again then he should go washing his body on the middle of the ocean.
Kwa nn? Mchezo upo kwenye system au unafikiri unapoona matokeo live basi kila kitu kipo sawa nyuma ya pazia?Uchaguzi wao uko na uwazi sana.
Watu wanakabana koo mwanzo mwisho.Huu ndio uchaguzi sasa
Ruto anadrop with time.Baba anakuja kwa kasi ya ajabu