The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Actually it'll be very sad day to me if the hustler William Ruto will be failing to win this Election.
Bado ana nafasi ya kujaribu Tena na Tena ikiwa hatapata awamu hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Actually it'll be very sad day to me if the hustler William Ruto will be failing to win this Election.
Kabisa maana mtu akakataa matokeo tu..milion 6 wanapambana na mil 5.99..hapa ni moto sasa huku kwetu..asilimia 98 ipambane mtaani na asilimia 2.. 😂😂😂😂 looh mwanangu mdogo sana..bado ana madeni ya starehe yanamsuburiNilichogundua hapa hawa citizen wapo nyuma
System unamaanisha Nini mkuu?Kwa nn? Mchezo upo kwenye system au unafikiri unapoona matokeo live basi kila kitu kipo sawa nyuma ya pazia?
Dude Tusipangiane matter of fact everyone has freedom to give out his/her opinion.Ulivyokuwa unajifanya mjuaji sasa hivi unaona aibu unarudi na kauli za kujiona aibu unarudisha chini mkia kama mbwa
🤣🤣🤣 Makasiriko huambatana na lugha ya kizunguUmekasirika mpaka unaongea kizungu tupu [emoji3][emoji3]
Ujuaji mwingi kumbe upuuziDude Tusipangiane matter of fact everyone has freedom to give out his/her opinion.
Hyo ni kwa Citizen ila kwa ntv wako live pia Ruto anaongoza kwa kura 100k.Odinga anaongoza kwa kura 37,000
Fuc.k off Mr smart-ass.Ujuaji mwingi kumbe upuuzi
[emoji3][emoji3][emoji3] wewe unasubiriwa kutimiza ahadi yakoMchezo mchafu wa deep state. Wake ya msikubali.
Nakuaminia myebusi. Yani Ruto akichukua Leo naleta calls\escort girls wanne tupige 5some na plenty of champagne na marijuanaTulia mgeresi Ruto atarudi kutembeza moto..
Yes, hata mimi kweli naombea walau aongoze hata kwa miaka mitano tu inatoshaSema Mzee kapambana miaka mingi sana at least aongoze hata muhura mmoja tu utamtosha sana ukizingatia umri umesonga.
Tulia wewee[emoji3][emoji3][emoji3] wewe unasubiriwa kutimiza ahadi yako
System gani hiyo ya tiss?,hii ni kenya sio mazuzu wa nchi hiiKwa nn? Mchezo upo kwenye system au unafikiri unapoona matokeo live basi kila kitu kipo sawa nyuma ya pazia?
Mimi nataka apigwe chini,huwa nachagua upande unaonewaSema Mzee kapambana miaka mingi sana at least aongoze hata muhura mmoja tu utamtosha sana ukizingatia umri umesonga.
Perfect mkuu,2020 ulikua ni uchafuzi sio uchaguziKatika masuala ya uchaguzi na Demokrasia Tanzania ni takataka tu mbele ya Kenya.Natazama KBC hapa,mambo yanaenda kwa uwazi kabisa.