Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Lakini wewe si umesema tayari 90% tayari na Ruto kashinda?
Angalia nukichojibu na nilichoulizwa. Uache kukurupuka, kwani Ruto alishinda tafsiri yake hakuna wizi kwenye kura? Ukiwa na mil 10, ukaibiwa mil 1, unakua hujaibiwa?
 
Odinga ni maalim seif wa πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡°πŸ‡ͺπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hii hita nzuri sana, hakuna wizi kma tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…