Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Angalia nukichojibu na nilichoulizwa. Uache kukurupuka, kwani Ruto alishinda tafsiri yake hakuna wizi kwenye kura? Ukiwa na mil 10, ukaibiwa mil 1, unakua hujaibiwa?Lakini wewe si umesema tayari 90% tayari na Ruto kashinda?
Subiri matokeo yakitangazwa utaelewaSystem unamaanisha Nini mkuu?
Uwazi umeanza zile form za matokeo Kila kituo zimewekwa hadharani na Kila mtu anaweza kujumlisha kupata kura zilizopigwa.
I also prefer Odinga to win the race.Tumepindua meza tume malizaaa watch Citizen live View attachment 2320106
Bado Sana. Hapo citizen umeangalia NTV au ktn huko ruto anaongozaTumepindua meza tume malizaaa watch Citizen live View attachment 2320106
Safi sana hii.Tumepindua meza tume malizaaa watch Citizen live View attachment 2320106
Kumbe kila tv ina matokeo yake.Basi vita inanukia.Tufungue mpaka.Bado Sana. Hapo citizen umeangalia NTV au ktn huko ruto anaongoza
Hao wengine wako Biass matokeo ya saa nane mpaka muda huu. Watu tuko updated banaBado Sana. Hapo citizen umeangalia NTV au ktn huko ruto anaongoza
Hao wahuni tuu angalia citizen ndo wako liveKumbe kila tv ina matokeo yake.Basi vita inanukia.Tufungue mpaka.
[emoji3][emoji3][emoji3] dah, huu uchaguzi naona kila mtu ana lakeLive updates:
Ruto 4,934.655(51.7)
Raila 4,345,880(47.1)
Citizen inasemaje.Hao wahuni tuu angalia citizen ndo wako live
Citizen inasemaje.
Hapo mkuu wangu kilichokuchekesha ni Nini sasa? Subiri tu mida ya jioni[emoji3][emoji3][emoji3] dah, huu uchaguzi naona kila mtu ana lake
Subiri matokeo yakitangazwa utaelewa
Mkuu hii umetoa chanzo kipi Kama hutojaliLive updates:
Ruto 4,934.655(51.7)
Raila 4,345,880(47.1)
NTV wanauliza kwa nn media zinatoa matokeo ya uongo?Kumbe kila tv ina matokeo yake.Basi vita inanukia.Tufungue mpaka.
Mkuu kama odinga akichukua itakuwa zali kwa wengine [emoji1]Hapo mkuu wangu kilichokuchekesha ni Nini sasa? Subiri tu mida ya jioni