avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 8,082
- 14,457
Wapo nyuma ya ntv sanaSisi tunakwenda na citizen is unbiased,imeonyesha pande zote mbili 🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo nyuma ya ntv sanaSisi tunakwenda na citizen is unbiased,imeonyesha pande zote mbili 🤔
IEBC portal.Source ?
Wewe mbona unapindua pindua data, 52. 4 ni Ruto ,baba yenu kaishapigwaLive Updates:
RAILA 5,289,045(52.4)
RUTO 4,632,670(46.5)
Achana naye wanatafuta chaka, ground Mambo magumSource
Ingia online Kwa portal ya IEBC ijipigie hesabu. Rais wa tano Kenya ashajulikanaSisi tunakwenda na citizen is unbiased,imeonyesha pande zote mbili [emoji848]
Hata huku kwetu hard copy zilikuwepo na haikuwa chochote.Mkuu matokeo ni hard copy inapigwa picha inatumwa kwa website so matokeo yote tayari yalishapostiwa kitambo
So mtu akichakachuwa say vituo 20 vya Nairobi Ina maana ni lazima azitafute zile hard copy 20 azi replace otherwise hard copy lazima zifanane na kilichopostiwa kwa tovuti
Upo sawa , hii kitu nimeweka KWa screen kabisa nachungulia KILA wakati, japo inaenda taratibuWapi Baba😆😆View attachment 2320224
🤣🤣🤣🤣🤣🤣acha undezi huyo Ruto wako kamwe hashindi.Kwa iyo tume Yao ishajua nani anaongoza. Sasa si hapo deep state watapata mwanya wa kumanupulate, kutamper na kuchakachua matokeo na kumnyima Ruto ushindi wake?
Wameweka 53% kwa Odinga tafuta ya RutoWazee wa mikeka, vipi M-bet na livescore wameweka Odds ngapi kwa Ruto??
Nani Sasa?Ingia online Kwa portal ya IEBC ijipigie hesabu. Rais wa tano Kenya ashajulikana
Wewe ushamaliza kuhesabu za vituo vyote 46000+??Ingia online Kwa portal ya IEBC ijipigie hesabu. Rais wa tano Kenya ashajulikana
Yes ni kabila moja na Moi alikuwa mentor wa Ruto. Ruto akiwa chuoni alikuwa active sana kwenye Christian union na ndo Moi alimuona huko ndo hadi akawa member wa lobbying kwenye kambi ya Moi. Mpaka alikuwa waziri wa kilimo kama sikosei kipindi cha Moi.Kama sikosei ni kabila moja
NTV waongo soon walionyesha kura za Uhuru milion 8,Odinga 6m.Waliandika kabisa Uhuru. Wakafuta faster. Nimewadiscredit.Wapo nyuma ya ntv sana
Kalenjini huyo, umesema vizuriYes ni kabila moja na Moi alikuwa mentor wa Ruto. Ruto akiwa chuoni alikuwa active sana kwenye Christian union na ndo Moi alimuona huko ndo hadi akawa member wa lobbying kwenye kambi ya Moi. Mpaka alikuwa waziri wa kilimo kama sikosei kipindi cha Moi.