Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Hata huku kwetu hard copy zilikuwepo na haikuwa chochote.
 
Kwa iyo tume Yao ishajua nani anaongoza. Sasa si hapo deep state watapata mwanya wa kumanupulate, kutamper na kuchakachua matokeo na kumnyima Ruto ushindi wake?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣acha undezi huyo Ruto wako kamwe hashindi.
Watachakachua vipi wakati matikeo yako hadharani ma Ruto anayo pia?
 
Mpambano mtamu anyway. Majirani nawaombea mpate kiongozi mnayemtaka
 
Kalenjini huyo, umesema vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…