Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
The Citizen mpishano ni kidogo ila kwa KTN ambayo ipo mbele Ruto kazidiwa over 2,500,000
 
Kinachonishangaza mimi sio vituko wanavyofanya kwenye uchaguzi, ile vile wanavyoshangilia na kujitapa wameshinda kwa kishindo.

Ni sawa na kumfunga mgonjwa kamba mikononi na miguuni halafu umpandishe ulingoni lakini bado akuzidi nguvu na akuchape vichwa lakini refa wa pambano anaingilia kati na kukutangaza mshindi, na wewe unaanza kushangilia na kujitapa.

Hivi unaona inavyoshangaza mkuu?
 
Kuliko wewe na ukoo wako bhana, usitujuishe kweye upumbavu wako ebo. We mjinga nini??
 
99% of the forms REPORTING

45,750 forms out of 46,233

Our Internal Systems as compared, verified and uploaded on our Systems

WSR: 7,106,748

RAO: 6,870,784
Si kweli,idadi inazidi waliopiga kura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…