Akapumzike sasano second round,
Babu anazimia punde.
Ila Citizen wako mbele kidogo.Ruto: 6,393,508.
Raila: 6,382,117.
Difference; 11,391.
Hapo Citizen tv umepindua. Za Ruto umempa Odinga na za Odinga umempa Ruto.KTN News
Ruto 6,375,992
Odinga 6,347,744
The Citizen
Ruto 6,457,182
Odinga 6,405,221
KTN Kenya
Odinga 6,266,462
Ruto 6,144,117
Hizi matokeo ya media 3 ndo utajua nani rais
Jumlisha na Asilimia za Wale wengine wawili uone tunavyodanganywa.currently 1640hours;
Ruto 49.70%
Raila 49.62%
as per ntv chanel
Upo kwenye usingizi gani? Angalia citizen hslafu urudi kwenye hicho chombo chako ulikochukilia data za jana uwaulize mbona wengine wameshavuka huku na RAILA anaongoza?Ruto: 6,393,508.
Raila: 6,382,117.
Difference; 11,391.
Citizen digital wamestuck kuesabu RAO 49.52% RUTO 49.08%. Nahisi wameshajua kuna kitu sio kizuri kinaenda tokea...kuna mtu kapigwa dakika za mwisho....Ila Citizen wako mbele kidogo.
Mpaka kufikia usiku watakutana tu na tutajia mbivu na mbichi.
RAO naona wafuasi wake wanamuandalia press ya kumpongeza. Ni kama vile hawaamini kama baba kapigika kirahisi
Watanzania wengine ni wajinga sana, anadhani yeye ndo ana TV na smartphone peke yake. Kumbe anajipa moyo tu na ukweli anaujua.Hapo Citizen tv umepindua. Za Ruto umempa Odinga na za Odinga umempa Ruto.
Ni ngoma ngumu sana, ila binafsi pia nahisi nyota ya mchezo ipo kwa OdingaHii ngoma ngumu Ila Odinga anachukua
Wacha uongo mzee.., county govt zimefanya mengi mno, bila majimbo Kuna watu hawangejua barabara za lami zinafanana vipi, stima, hospitali, viwanda, wacha porojo mzee, mbona Kenya huwa inakukera hivyo? Penda ukweli.Majimbo hayajafanya la maana hapo Kunyaland! Si kila wanachofanya tuige!
Wale wengine nadhani wana less than 0.6%Jumlisha na Asilimia za Wale wengine wawili uone tunavyodanganywa.
Aisee uko ndotoni ama!Hongera zake Raila, yeye ndiye raisi ayaye.
Wametulia hapaNi ngoma ngumu sana, ila binafsi pia nahisi nyota ya mchezo ipo kwa Odinga
Wanasuburi media zingine wafikie hapo. Kimsingi watakuwa wameshamjua mshindi maana kura zilizobaki ni chache mno