Umejaribu kujiuliza ni kwanini citizen TV ambayo pia ndo tallying center ya Azimio kura zimeganda vilevile kwa muda mrefu? Una habari raila na Atwoli wameitembelea Leo hii citizen TV?Hizo ni fake mkuu. Ruto akikomaa sana anafikisha kura milioni 6.9 ambazo hawezi kupata 50% huku Raila akikomaa sana anaishia kura milioni 7.4 ambazo ni 51% So it's either Raila or second round. Na ikienda second round Raila hatatoboa
Halafu wao ndiyo wana mamlaka ya kutangaza kumbe au bado na wao watamsubiri Chebukati?Kwa hali inavyoonesha Ruto kachukua nchi,hawa nation kabla ya saa moja usiku watakuwa washakamilisha mahesabu
Kwani kura mpk sasa zinasemaje?Hivi kuna watu wanaamini Ruto atashinda eti 🤣 🤣
Kwani hali inaendeleaje huko?Unaongea kitu ambacjo hukijui, kwahiyo ruto nani kakwambia ruto anayo hofu ya Mungu, mwenye hofu ya Mungu ni Yul mchingaji aliyeshika nafasi ya mwisho anaezidiwa na mvuta bangi.
Ruto huyu ambae enzi za mwai kibaki alikua mgombea mweza wa odinga, akimwambia asikubali kusaini matokeo hata watu wakiuana, sasahiv unasema anayo hofu ya Mungu
mi ninachoona matokeo ya Citizen ndo tunachoenda kutangaziwa.Umejaribu kujiuliza ni kwanini citizen TV ambayo pia ndo tallying center ya Azimio kura zimeganda vilevile kwa muda mrefu? Una habari raila na Atwoli wameitembelea Leo hii citizen TV?
Kumbe hawa ndiyo Tume ya Uchaguzi?Kama huna presha chungulia humo for your own risk
Citizen wameamua kutuliza mzuka ila kwa ujumla kura zilizobakia Ruto hatoboi 20K. Believe me. Hata maandalizi yanayoendelea inaonyesha wazi ni Raila ameandikwaUmejaribu kujiuliza ni kwanini citizen TV ambayo pia ndo tallying center ya Azimio kura zimeganda vilevile kwa muda mrefu? Una habari raila na Atwoli wameitembelea Leo hii citizen TV?
IEBC jana mchana ndio wameanza kuhesabu kura,hizo tallying centres za TV stations ni udambwi udambi tu.Ninachoshindwa kuelewa kwenye tv zote Ruto anaongoza ,but IEBC imesema watu watulie matokeo yanayowekwa kwenye tv siyo
Hapa msema kweli ni Tume ya Uchaguzi chini ya Chebukati peke yake.Huku kwingine tunajifurahisha tuUmejaribu kujiuliza ni kwanini citizen TV ambayo pia ndo tallying center ya Azimio kura zimeganda vilevile kwa muda mrefu? Una habari raila na Atwoli wameitembelea Leo hii citizen TV?
Na hawatoamini macho yao.mi ninachoona matokeo ya Citizen ndo tunachoenda kutangaziwa.
exactly ila nachoona hawezi kutangaza provinces zote Leo maana anatangaza moja halafu anakaaHapa msema kweli ni Tume ya Uchaguzi chini ya Chebukati peke yake.Huku kwingine tunajifurahisha tu
Ndio mtoto mmoja wa Kenyata kaoa Nyaturi/JaluoHivi kikuyu anaweza oa mjaluo?Au the other way around ?
Ma great thinker wa hii platfom wameanza kuibuka...humu kuna magenious huwezi danganya hovyo....wambie banaUmejaribu kujiuliza ni kwanini citizen TV ambayo pia ndo tallying center ya Azimio kura zimeganda vilevile kwa muda mrefu? Una habari raila na Atwoli wameitembelea Leo hii citizen TV?
ila Ruto kacheza rafu nyingi sana ,magari yamekamatwa ashapigiwa kura ,ataongoza lakini tusubiri nachoona hatatangazwaNa hawatoamini macho yao.
Ruto anaongoza..Odinga ndiye rais ajaye sa wengine wanabisha.
I saw this...Umejaribu kujiuliza ni kwanini citizen TV ambayo pia ndo tallying center ya Azimio kura zimeganda vilevile kwa muda mrefu? Una habari raila na Atwoli wameitembelea Leo hii citizen TV?