Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi nani alimshauri kufanya vile?Namhurumia odinga skendo ya matumizi makubwa ya pesa kwa msanii maarufu wa nchi fulani inachangia
Umetoa takwimu vizuri,halafu unasema lazima ashinde 🤣🤣,hizo nyingine umeziona wapi?Kura zilizopigwa ni 12M
Zilizohesabiwa ni 1.5M
Muda wa Ruto kujihakikishia ushindi bado sana.
Kwa vyovyote vile huu uchaguzi lazima ashinde Odinga.
Hivi mwana ccm mwenzenu sio kwamba ni Odinga?Kila lenye heri mwana CCM mwenzetu Ruto
Mbona hueleweki? Wengi wanamtaka Ruto awaongoze halafu wewe umpe madaraka Odinga halafu utarajie amani! Mazoea yenu CCM unadhani yanawezekana Kenya!Hata Ruto akishinda amwachie Odinga.Safari hii ni yake na hatutaki ugomvi wa ndugu.
Hajiwezi kishawishi, hata ulimi wake mzito. Hayuko fluent!Odinga huyu akishindwa sahivi aache siasa tyuuh, ila napendaa akishinda yeye.
Bc: JiweHuu ndiyo uchaguz siyo mgombea anashinda kwa asilimia 100
Ova
Mmmmmhtyuu maana yake nini?
Duuh namuhurumia mnoo.Hajiwezi kishawishi, hata ulimi wake mzito. Hayuko fluent!
Hata mi naamin Ruto ndie Rais wa 5 KenyaNilishatabiri Ruto ndie Rais ajaye wa Kenya. Na makamu wake Brilliant Ragath Gachagua. Mungu hawezi kumruhusu Raila awe Rais. Tunataka future iliyotengamaa Africa Mashariki na maziwa makuu kwa ujumla. Na huu mustakabal ni Ruutoo tu.
RAILA👊💥Hata mi naamin Ruto ndie Rais wa 5 Kenya
Mkuu wapii? Jamaa Raila atangaze mapema tu tayari keshashindwa Ili alinde heshima yake. Ila ni vizuri kujifariji. Naapa kama Raila atashinda huu uchaguz natembea uchi hadharani siku tatu mfululizo halafu najiuaRuto anachezewa mchezo wa kiasiasa sasa,wameanza kuhesabu kura kutoka ngome yake halafu ndio wanamalizia ngome za Odinga.kwisha habari yake.