Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Mkuu

Heshima kwako. Unavyoandika hivyo nashikwa na Hof yakufa mtu
Toa hofu Mkuu,yule sasahivi anavalishwa ma bullet proof na mengineyo maana si mtu wa mchezomchezo tena,ndio maana anachelewa kidogo,Chebukati atasubiri tu atake asitake[emoji28]
 
Aisee jamani Hawa jamaa mbona hawa confirm tuu hahaaaa...si watangaze tujue ama ni hasla au mzee wa nchi ya Ahadi
Bila shaka wanafanya juhudu kumshawishi Raila akubali kuja. Kenya wananchi wake siyo goi goi kama Tanzania kwani wasipofanya mambo kwa tahadhari kunaweza kufumuka fujo kubwa. Riala kuwepo kutafanya washabiki wake wasifanya fujo.
 
Back
Top Bottom