Yaliyojiri Uwanja wa Aman: Simba SC Vs Yanga,Kombe la Mapinduzi 10/1/2017

GajskxjdbdjcmclshspeuqkgfkcncaoqusbdpdjqhzgapqpshalabzhaiqfqudpdjavLchapslcgayqtspslabzksizgakshqoanskfpapqnsgxpqbsjxoqhanzlxpwhslfhsidpwhakfhqhqpdjdnxpchwhzkdpcjsjdpcjwbdocpfnsjclxkahwpdbdpcbF*** Yanga
Bantu lady hii lugha ndo waliyokuwa wakiitumia kujenga mnara wa babeli kisha ukaangukia jangwani[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Haya Yanga mrudi haraka usiku huu huu, hatuwapokei maana tutawatandika makofi tu. Mtuache Azam tuwaonyeshe kazi hao vidomodomo. Azam mbele kwa mbele, mpaka kieleweke.
Azam kwa uhamisho wa ghafla...

Unatia huruma.....sasa hivi mahaba umeyahamishia Azam.....!!??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tunawatangazia msiba wa ndugu yetu....Young African......kilichotokea huko Zanzibar......

Marehemu kafa bila hata ya kuacha wosia.....

Mazishi yatafanyika nyumbani kwa marehemu....huko kwenye shamba lake la mpunga....wenyewe wanapaita Jangwani....
 
Haya Yanga mrudi haraka usiku huu huu, hatuwapokei maana tutawatandika makofi tu. Mtuache Azam tuwaonyeshe kazi hao vidomodomo. Azam mbele kwa mbele, mpaka kieleweke.
Azam kwa uhamisho wa ghafla...
Duh ushahama timu? Vumilia upepo tu huu utapita. Msimu mmoja usifute mafanikio ya misimu mitatu iliyopita. Kumbuka kutesa kwa zamu. For four consecutive years sembo alikuwa akiishi kama shetani humu. Si vibaya tukawapa nao nafasi kwa msimu mmoja.

Usivunjike moyo. Ila angalizo hama koooote usije ukahama kule catalunya nitakuchapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…