KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Yanga wanavyo penda nne?!!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] best yanga wana 4G+4G=8G
Ulimi uliponza kichwa,angalia msing'oe viti hata huko,mchezo huu unahitaji uvumilivu,Mikia FC mnahitaji kuwa na dawa ya usingizi Karibu kwani bila hiyo usiku wa leo utakuwa ni mrefu sana kwenu!!
Unatumia bia gani..?Nna imani na simba, nimejiandaa kushangilia ushindi ...
Unapenda mkia umekufanya vibayaMikia manina zao wanaenda fainali
Inatokeaga mkuu...
What do u expect?!Unatakaaa kukimbiaaa na hauna break.......
Lwandamina hakupewa kazi kwa ajili ya haya Mabonanza. Kaajiriwa special kwa ajili ya Klabu Bingwa na huko ndipo kilipo kipimo chake. Sio Mapinduzi wala VPL kabati limejaa tunawaachia nyie mwaka huu.Kama Kila ukifungwa na Mnyama unamfukuza kocha.. Basi msimu huu timu zote zitatimua makocha wao msimu huu.
Simba kashinda kwa Penalt 4 dhidi ya 2 za Yanga. Hivyo ametinga fainaliHapo vipi sasa? Nipe matokeo bas
Tena bila ndomusembo washaliwa kiboga tena
Ukichaa si lazima uvue nguo. Page ya 24 hii na comment zaidi ya 477 hujisikii aibu. Pole sana.Unapenda mkia umekufanya vibaya
Tena bila ndomu
Unasema?Mikia watachezea koki kama kawaida
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inaitwa obligadooNi kukamua kwa kwenda mbele