Hahahaha au yalikua yanapaaa juuKwani magoli penat yalikuwa yanaingia nyuma ya nyavu?
Acha kujifariji
Wangeshinda wangesema kombe lina mvuto ...ama kweli mfa maji haishi kutapatapaMlicheza la nn kama halina mvuto?
Nahisi hujui mpira mkuu. Au umeanza kushabikia mpira wakati wa Mapinduzi Cup.Ukiona mtu anafurahi ushindi wa pernat a.k.a rede ujue huyo anatatizo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
yani hata kucheka tuna cheka mara nane nane.
Kawaida tuu...Vijana punguzeni maneno makali.....michezo si uadui.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tena bila ndomu
Njooni mtakuta msumari unawasubiriHafi mtu Azam tunakujaaaaaaa
Well said mkuu.Lwandamina hakupewa kazi kwa ajili ya haya Mabonanza. Kaajiriwa special kwa ajili ya Klabu Bingwa na huko ndipo kilipo kipimo chake. Sio Mapinduzi wala VPL kabati limejaa tunawaachia nyie mwaka huu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Tulia uandike vizuri na vumilia msumari
Nilidhani umeandika libidoo...kuwa yanga wana libido kali..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inaitwa obligadoo
Yanga duble duble
Achana na huyo mwimba taarabu.Nahisi hujui mpira mkuu. Au umeanza kushabikia mpira wakati wa Mapinduzi Cup.
Italy mwaka 2006 walibeba Kombe la Dunia kwa ushindi wa Penati dhidi ya Ufaransa.
Sasa wewe sijui kinauuma nini kwa ushindi wa leo wa Mnyama kupitia penati.
maneno ya mkosaji hayooNahisi hujui mpira mkuu. Au umeanza kushabikia mpira wakati wa Mapinduzi Cup.
Italy mwaka 2006 walibeba Kombe la Dunia kwa ushindi wa Penati dhidi ya Ufaransa.
Sasa wewe sijui kinauuma nini kwa ushindi wa leo wa Mnyama kupitia penati.
Sema tenaHatuchezi kwa kuangalia historia, tutacheza dakika 90. Yanga daima mbele, nyuma mwiko. Ushindi leo lazima.
#teamyangaforever#tunajiamini#