Sadiki Abdallah
JF-Expert Member
- Jul 13, 2016
- 885
- 582
Tumechoka kusengenywa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yamekuwa hayo jamani... Basi Jecha aje afute matokeoLwandamila anarudi kwao Zambia akifika Jangwani kesho.
Ni kukamua kwa kwenda mbeleMnyamaaaaaaaa
Mkufee tuuh...![emoji379] [emoji379] [emoji379]GajskxjdbdjcmclshspeuqkgfkcncaoqusbdpdjqhzgapqpshalabzhaiqfqudpdjavLchapslcgayqtspslabzksizgakshqoanskfpapqnsgxpqbsjxoqhanzlxpwhslfhsidpwhakfhqhqpdjdnxpchwhzkdpcjsjdpcjwbdocpfnsjclxkahwpdbdpcbF*** Yanga
Kwani magoli ya penat yalikuwa yanaingia nyuma ya nyavu?Tumeshindwa kwa penalt
Sembo nilikumiss, ulikuwa kimya unasikilizia nn?Wanabahati sana hawa.. Ilikua tumalize hii kazi mapema sana.
Sasa Azam wajipange.. Tunakuja.
Mlicheza la nn kama halina mvuto?Kombe lenyewe hata halina mvuto [emoji12][emoji12][emoji12]
Wameshazowea kupigwa hakuna namna.4 ya Azam + 4 ya Simba=8G YANGA
Hahaaaaa Nifah dear pole sleep well.WTF?
Kwaherini Wanayanga wenzangu [emoji24] [emoji24] [emoji24]
I can't take this
Yani makorokoro yake atayasubiri kama ni bandarini au airport atajua mwenyewe muhimu ajue Zambia kunamuita mkuu,no more discussion!!!Yamekuwa hayo jamani... Basi Jecha aje afute matokeo