November 15, 2019
Dar es Salaam, Tanzania
Tanzania 2 : 1 Equatorial Guinea
Dakika 90' + 4 za nyongeza = 95' Full time mpira umekwisha hapa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Magoli ya Tanzania Simon Msuva 68' na Abubakar Salum 93' huku Equatorial Guinea likifungwa na Obiang'.
Hali ilivyokuwa kwa dakika:
Dakika ya 15'
Pedro Obiang' wa Equatorial Guinea anafunga bao la kuongoza hapa uwanja wa Taifa.
Dakika 68'
Goal ! Simon Happygod Msuva awanyanyua vitini waTanzania kwa goal safi kabisa uwanja wa Taifa Dsm
Dakika ya 91'
Goal ! Abubakar Salum shuti lake kali yaipatia Tanzania pointi zote tatu.
Tanzania 2 : 1 Equatorial Guinea
Super Coach wa Tanzania Etienne Ndayiragije na wa Equatorial Guinea Sebastien Migne toka Ufaransa walambishwa kadi za njano dakika ya 95' ktk mchezo huu kuelekea fainali huko Cameroon 2021. Sebastien Migne alikuwa coach wa timu ya Kenya Harambee Stars kabla ya kusainiwa na Equatorial Guinea.