Ngoma linaanza upya.!Mungu wangu.
Wamesawazisha tayariItakuwa bomba sana jamaa wakisawazisha.
Yanga leo mpira umetukataa kabisa,Mungu asaidie tu.Mungu wangu.
Wamesawazisha tayari
Na mmepoteana sanaYanga leo mpira umetukataa kabisa,Mungu asaidie tu.
Naona vijana wameanza kupoteana [emoji24]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kaka hadi nakuonea huruma.MBC funga hao kandambili warudi kwao jangwani wakatafunwe na mbu.
Nifah matokeo please hah hahYanga leo mpira umetukataa kabisa,Mungu asaidie tu.
Naona vijana wameanza kupoteana [emoji24]
Mpira uishe sasa jamani, wana lizombe wakamalizie kazi wasishuke daraja.Uwiiiiiiiiii Haruna Shamte anawasawazishia Mbeya City hapa,kazi nzuri iliyofanywa na Nchimbi.
Yanga 1-1 Mbeya City.
Goli hili ni kwa uzembe wa mabeki wa Yanga.
Matokeo tafadhaliiNa mmepoteana sana