Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bossou anakatika sana na hajatulia..Goli la City ulikuwa uzembe wake..Pia hatuna DM..Angekuwepo Makapu pale ingekuwa poa..Kamusoko anapanda sanaNi kweli hawajatulia kabisa, tukipewa mashambulizi mfululizo mambo yanaweza kuwa mabaya .........
Sana mkuu. Yanga huwa tunaridhika na ushindi mwembamba wakati timu pinzani inashambuliaInanikosesha raha sana..Confidence ya ushindi imepotea kabisa yaani
Hongera Mpwa.Dakika ya 83 Yanga 2-1 Mbeya City.
DaaaahGoaaaaaaaaaallllllllllllll Chirwaaaaaaaa Yanga 2-1Mbeya City.
Asante JumaAbdul kwa krosi kama ya David Beckham.
Let's keep our fingers crossedDakika ya 83 Yanga 2-1 Mbeya City.
Hunizidi mimi. Yani nikisikia mbeya city, nachanganyikiwa.Daaaah
Nimepumua kwa nguvu aisee
Anatoa maboko likoloo kama danteBossou leo vipi?..Nusu atoe boko