Yaliyojiri Uwanja wa Taifa: Yanga FC 2 - 1 Mbeya City

Dak 83 Bado Mungu yupo upande wetu.!
 
Ni kweli hawajatulia kabisa, tukipewa mashambulizi mfululizo mambo yanaweza kuwa mabaya .........
Bossou anakatika sana na hajatulia..Goli la City ulikuwa uzembe wake..Pia hatuna DM..Angekuwepo Makapu pale ingekuwa poa..Kamusoko anapanda sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…