Yaliyojiri Uwanja wa Taifa: Yanga FC 2 - 1 Mbeya City

Kwanin TFF asiongeze timu ziwe 20
Badala ya kuongeza timu inatakiwa zipunguzwe zaidi. Kuwa na timu chache kunasaidia kuongeza upinzani na kuifanya ligi kuwa ngumu kwasababu timu ni chache hivyo ni rahisi kushuka daraja na vigumu kupanda tenA.
Na huko chini na kwenyewe kutakua kugumu kila timu inapambana ili ipande juu.
 
Weka updates basi mkuu? Sio poa unaanzisha thread halafu unapotea.
 
Yanga wanapata kona ya 5.
Haijaleta madhara.
 
Sijakuona tena since then,bora umerejea.
Baada ya ban kuisha nilikuwa naingia kwa muda mfupi sana kutokana na majukumu ya hapa na pale, wakati huo huo nikiwa na presha ya vyeti feki teh teh. Nadhani tulikuwa tunapishana
 
Mpira wa leo haujachangamka kama ilivyokuwa kwa mechi iliyopita dhidi ya Kagera.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…