Yaliyojiri Uwanja wa Taifa: Yanga FC 2 - 1 Mbeya City

Yaliyojiri Uwanja wa Taifa: Yanga FC 2 - 1 Mbeya City

Vijana wako vizuri sana mkuu,wamenikumbusha yule jamaa Mbaraka Yusuph wa Kagera Sugar alivyotunyanyasa.
Kabisa mkuu. Naamini ikiwa hivi hadi half time, Mbeya city watalala.
Hadi sasa bado sina imani kivile kwani wanasema
It's not yet over until it's over.
 
Sema hata imani bado haijatengemaa inaonekana pengo la msuva halijazibwa
 
Kabisa mkuu. Naamini ikiwa hivi hadi half time, Mbeya city watalala.
Hadi sasa bado sina imani kivile kwani wanasema
It's not yet over until it's over.
Kwa mpira wanaocheza Mbeya City sina mashaka kabisa leo ushindi ni wa uhakika.
 
Mnanikera hapo tu kuifanya Yanga timu ya lichama lenu [emoji16]
Sio kuifanya..
Ukweli ni kwamba yanga ni timu ya ccm. Ndio maana hata wanaz wake ni ccm akina mwigulu akina riziwani akina manji
 
Baada ya dakika 45 zimeongezwa 3.
Yanga 1-0 Mbeya City
 
Yaani kabla watani hawajaja na kidedea sisi tulikuwa tunashangilia CCM CCM CCM CCM...!!Ulikuwa ukisikiliza kwenye radio na kudikio hiyo kelele ya CCM CCM CCM basi ujue Yanga katupia.
Hapana! Kabla ya kidedea huo ulikuwa ushangiliaji wa Simba fc, wakiwazodoa Yanga fc kwamba ni timu ya ccm, ilikuwa haijalishi Simba fc anacheza nani! Kipindi hicho Simba wakikaa jukwaa kuu na Yanga wakiwa jukwaa la kijani mwa uwanja wa zamani wa taifa (shamba la bibi). Niko tayari kukosolewa na wale wakongwe
 
Mpira Mapumziko kipindi cha kwanza kimeisha Yanga 1-0 MBC

Goli dakika ya 8 Saimoni Msuva.!
 
Hapana! Kabla ya kidedea huo ulikuwa ushangiliaji wa Simba fc, wakiwazodoa Yanga fc kwamba ni timu ya ccm, ilikuwa haijalishi Simba fc anacheza nani! Kipindi hicho Simba wakikaa jukwaa kuu na Yanga wakiwa jukwaa la kijani mwa uwanja wa zamani wa taifa (shamba la bibi). Niko tayari kukosolewa na wale wakongwe
Simba walikuwa na ushangiliaji wao walikuwa wanapiga lile litarumbeta lao huku wakiimba eeeh! Kidedea.hapo ujue kuwa vijana matata akina George masatu wamefanya yao
 
Back
Top Bottom