DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,497
- 5,090
Kabisa mkuu. Naamini ikiwa hivi hadi half time, Mbeya city watalala.Vijana wako vizuri sana mkuu,wamenikumbusha yule jamaa Mbaraka Yusuph wa Kagera Sugar alivyotunyanyasa.
Hadi sasa bado sina imani kivile kwani wanasema
It's not yet over until it's over.