Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Mkuu hivi polisi wapo kweli?
 
zile tofali ndo iz tunazojengea uku mtaan au ile n product by Azam
 


Me too, I am terribly dissapointed!!
 
Kha, sijui kwa nini siko moved na haya mambo. Najitahidi kuipenda hii nchi nsshindwa kabisa! Siko impressed hata kidogo na yoote yanayofanyika hapo! Kha!
Hama nchi au ukane uraia wako utuachie sisi tunaoipenda nchi yetu. Utanzania wangu, fahari yangu.
 
Kwata ya kimya kimya nimeikubali..
Silaha wanazichezea fresh
Zoezi kwa ustadi na ukakamavu
Hakuna kugongana gongana
Miguu inakwenda sambamba
Mikono inaendana
Wanageuka kwa kupinda migongo
Kurushiana silaha kwa mpangilio
...SAFI KABISA INAVUTIA/INAPENDEZA..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…