Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipumba vipi yupo?Hawa makomandoo Ni hatari Sana kwenye Medani lol! Ninachokishuhudia hapa Uhuru noma sana.
Ni kuona.Lengo la maonesho ya hawa makomandoo ni nini??
unafikiri ni kama vile vya mbege? umeona walicho kifanya pale?Nimeona Kuna Makomandoo wawili wana Mabonge ya Mitambii 🙁🙁
Wale "maadui" zetu waone,hatutaki mchezo mchezo!Lengo la maonesho ya hawa makomandoo ni nini??
Nimeishi nao wakati nabukua makongo,kila nikiwaona hao namkumbuka afande Miraji na Chacha!Na ikumbukwe hizo kilo 65 zilizopo migongoni mwao ni zaidi ya mfuko mmoja wa Cement. Hawa jamaa tuwaacheni tu na tuwape respect yao stahili.
Ni zaidi ya comedy"Orginal Comedy"
hapa nafikiri tatizo ni ELIMU ............. ELIMU, ELIMU, ELIMU!!Vijana wa Chadema hawabanduki kwenye Uzi na TV wanafurahia
Mpaka unatia huruma jinsi gani ambavyo huna uzoefu na maadhimisho ya sherehe za uhuru katika nchi yako, kale kauzi kako kakowapi ka Rais atahutubia.Vijana wa Chadema hawabanduki kwenye Uzi na TV wanafurahia
Dah.... Pressure is force per unit area [emoji13] [emoji13]Hili la misumari na la kuvuta gari nimewapa heshima yao
Kama ni mtu wa mazoezi vizuri au Komandoo kitambi hakikai hata kama unaweza kufanya yote...Kitambi ni dalili kwamba mazoezi huna.unafikiri ni kama vile vya mbege? umeona walicho kifanya pale?
Mbaya zaidi naona hata ubora wa vitendo vyao unapungua kadiri miaka inavyoyoyomaHivi Kuna haja ya kila mazimisho hawa makomando wetu kurudia hizi style Za kupigana fimbo Na kuvunjiana Matofali?
Hivi hakuna style zingine Za kuonyesha mpaka watumie hizi?
Sent from Microsoft Lumia 950xl Lte
Umeamka na mipombe ya jana wewe!Kaa pembeni basi wakuonyeshe wewe ama useme uliko wakufuate