Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unaharibu thread na hiyo picha.
Binadamu tunatofautiana aisee,yani mtu kaamka asubuhi kaoga kavaa,kapanda daladala kutoka tegeta madale kaenda uwanja wa taifa kusherehekea uhuru..dah
Hao ndio wanaume,hakuna f.f.u,j.k.t,wala polisi!shughuli yao niliiona pale makongo wakati nabukua!Wanaume wanapita, hawa ndio nilikuwa nawasubiri
Gwaride limekamilika. Linajiweka tayari kuondoka uwanjani kupisha ratiba nyingine kuendelea. Yatafuata maonyesho ya makomandoo na kikosi cha wanamaji wakiwa na kilo 65 migongoni mwao.
Dah....wapo njiani wanakuja...tuwalaumu wanaume[emoji13] [emoji13]Hivi hakuna makomando wa kike nchini tuone shows zao japo kidogo?
Mzee wa sifa tenaHawa Makomando lazma wapate neno la JPM
Kaa pembeni basi wakuonyeshe wewe ama useme uliko wakufuateItv wamekodoa mikamera kwenye mizinga tu