Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Nacheki hapa mbona makomandoo Wa mwaka huu wana vitambi sana imekuwaje[emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo nimemuona mama SalmaSalma yuko lakini....!
Mwingine kitambi kimeshuka chini ka anaenda kujifungua kabisa.Nacheki hapa mbona makomandoo Wa mwaka huu wana vitambi sana imekuwaje[emoji2]
Mkuu huwatakii mema! Sidhani kama imewahi kutokea hiyo.Hivi najiuliza Rais, Makumu wake na PM hawawezi kupanda gari moja kwenda uwanjani? Tuna bana matumizi pamoja na kupunguza foleni.
NITAKUWA WA MWISHO KUAMINI HAYO MABEGI WALIOBEBA MAKOMANDOO YANA KILO 65.
Hawa makomandoo.!Hiki kikundi cha kareti wasikiweke.
Wamekaa kizembe sana.
Kwani hao wanalipwa kodi za wana ccm tu au Watanzania wote. Jambo la Uhuru ni la wananchi wote na sio ccm
Hivyohivyo.Hawa makomandoo.!
Naomba kukuuliza hivi Mkuu wa Mkoa Paul Makonda siku hizi na yeye amekuwa Mtu wa Itifaki? Kwani namwona anafanya Kazi za Watu wa Protocol na kimsingi yeye anatakiwa tu kumpokea mgeni, kupeana nae mkono kisha kuwaachia Watu wa ( Kazi Maalum / Itifaki ) kuendelea na majukumu yao waliyosomea na kubobea nayo lakini cha kusikitisha yeye huyo huyo RC Makonda anaenda kumpokea Mgeni kisha yeye huyo huyo tena anawasindikiza karibu na kupanda ngazi tena huku akitoa maelekezo. Huyu Mkuu wenu wa Mkoa aache kuwa na sifa na kimbelembele na nina uhakika hata Watu wa Itifaki alionao pale anawakwaza. Kwanini hajifunzi na habadiliki?