Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Mbona wanaonekana kama wana njaa.!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wanaonekana kama wana njaa.!
izi fimbo wanazovunja nasikia ni made in china hata tiffa wa diamond anaweza vunja
Misumari butuHuyu komando kalalia misumari kweli?
Ushamba mzigoNaomba kukuuliza hivi Mkuu wa Mkoa Paul Makonda siku hizi na yeye amekuwa Mtu wa Itifaki? Kwani namwona anafanya Kazi za Watu wa Protocol na kimsingi yeye anatakiwa tu kumpokea mgeni, kupeana nae mkono kisha kuwaachia Watu wa ( Kazi Maalum / Itifaki ) kuendelea na majukumu yao waliyosomea na kubobea nayo lakini cha kusikitisha yeye huyo huyo RC Makonda anaenda kumpokea Mgeni kisha yeye huyo huyo tena anawasindikiza karibu na kupanda ngazi tena huku akitoa maelekezo. Huyu Mkuu wenu wa Mkoa aache kuwa na sifa na kimbelembele na nina uhakika hata Watu wa Itifaki alionao pale anawakwaza. Kwanini hajifunzi na habadiliki?
Sijaona raisi yeyote wa nchi nyingine.!Uhuru yupo??
Kweli aiseeHuyu komando kalalia misumari kweli?
Tupe kidodo muhtasariHao ndio wanaume,hakuna f.f.u,j.k.t,wala polisi!shughuli yao niliiona pale makongo wakati nabukua!
Na wewe ni kijana wa CHADEMA??Vijana wa Chadema hawabanduki kwenye Uzi na TV wanafurahia