Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Kikosi cha pili cha makomando naoma kidogo wamejichanganya kwenye kuondoka, naona mzuka wa kuruka na kushangiliwa kuliwapoteza kidogo.
 
Luteni Mropo hajawahi kuniangusha, kiongozi wa Komanddo hajawahi kuniangusha toka akiwa 821 Kj
 
TBC hebu waache kutuonesha gari, kila mda gari Camera Man yuko obsessed sana na hilo gari
 
Kumbe UKAWA mnafuatilia hizi sherehe bora zilizoandaliwa na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi.
Kwani umeambiwa ni sherehe ya kuzaliwa CCM. Muwe munajitambua mara nyingine, ficheni upumbavu wenu
 
Ayotv mbona kimya ? Hujaturushia streams za uwanjani.Mwanza hatuoni kwa wanaotumia cable.
 
CzOEMzOXgAEQP4L.jpg
 
Naangalia makomando hapa haaa haa haa hatari

Sent from Microsoft Lumia 950xl Lte
 
Hiki kikundi cha kareti wasikiweke.
Wamekaa kizembe sana.
 
Back
Top Bottom