Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na yule aliyewaambia vijana wake wamkamate yule mama.ambae vitumbua vyake vilikamatwa bandarini yupo?[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Yupo
Kwani hao wanalipwa kodi za wana ccm tu au Watanzania wote. Jambo la Uhuru ni la wananchi wote na sio ccmKumbe UKAWA mnafuatilia hizi sherehe bora zilizoandaliwa na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi.
Hata kiusalama piaKiitifaki,haiwezekani
Hivi makomando huwa na vitambi kumbe.Wababe wa karate na judo wameingia. Hapatoshi!
Kipenzi chetu na nani.....mkuu sema kipenzi changuJamani mbona kipenzi chetu JK hayupo?
Kwani umeambiwa ni sherehe ya kuzaliwa CCM. Muwe munajitambua mara nyingine, ficheni upumbavu wenuKumbe UKAWA mnafuatilia hizi sherehe bora zilizoandaliwa na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi.
Zimeandaliwa kwa hisani ya watu wa kagera.kupitia rambi rambi zao[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kumbe UKAWA mnafuatilia hizi sherehe bora zilizoandaliwa na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi.
Jk naye kala corner simuoni hata Pinda.
Nimeona Kuna Makomandoo wawili wana Mabonge ya Mitambii 🙁🙁Mambo yanazidi kunoga,Makomandoo wa Jeshi la Majini na Jeshi la Nchi kavu wanapita mbele ya Rais kutoa heshima yao
Kwa kweli inabidi aonyweMakonda siku atajichanganya, kiusalama hakuna anaeaminiwa. Taasisi ya rais haina partner. Inataratibu zake