Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
First lady yupo wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha!, alivuja damu balaa!, akaja Na kaulimbiu ya "Damu ya Chama!".Umenikumbusha katibu tarafa mmoja pale Iringa aliitwa MBIGILI alikuwa na kiherehere sana.Mwaka 1987 alikuja Rais mzee Mwinyi pale kiwanda cha Tancut basi mzee Mbigili akataka kuwahi kumfungulia mlango wa gari Rais,kwa kasi ya umeme hatukuona kilichotokea ila tulimshuhudia Mbigili amelazwa chali pembeni ya barabara akiwa hajitambui/amezimia
Hakuna per diemWimbo wa taifa sasa.!
Hizi sherehe mwaka huu zimepoa sana aisee.!
Muulize mange kimambiFirst lady yupo wapi?
Uwanjani watu kama hawana furaha hiv....had watangazaji wanahasisha watu washangulie
makamo wa Rais kaingia lakini mbona hatuambiwi kuhusu mmewe kama kaingia nae au hapana!!
Tanganyika imekufa.ilipozaliwa tanzania.ndo maana hata Zanzibar Leo wamepumzika.tukitaka tuite Uhuru wa Tanganyika tuwaondoe Zanzibar ibaki tanganyika[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Nadhani ni kumbukumbu ya uhuru wa TANGANYIKA.
MakamiMakamo au makamu ?