Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Umenikumbusha katibu tarafa mmoja pale Iringa aliitwa MBIGILI alikuwa na kiherehere sana.Mwaka 1987 alikuja Rais mzee Mwinyi pale kiwanda cha Tancut basi mzee Mbigili akataka kuwahi kumfungulia mlango wa gari Rais,kwa kasi ya umeme hatukuona kilichotokea ila tulimshuhudia Mbigili amelazwa chali pembeni ya barabara akiwa hajitambui/amezimia
Hahahaha!, alivuja damu balaa!, akaja Na kaulimbiu ya "Damu ya Chama!".
 
Wanaume wanapita, hawa ndio nilikuwa nawasubiri
 
Mambo yanazidi kunoga,Makomandoo wa Jeshi la Majini na Jeshi la Nchi kavu wanapita mbele ya Rais kutoa heshima yao
 
Kumbe UKAWA mnafuatilia hizi sherehe bora zilizoandaliwa na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi.
 
8bc7330d426091e814e2a638c7e2e749.jpg
1ca213c2d9dfc20125a8b59e6196b807.jpg
 
Back
Top Bottom