Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

f97491c4158a97fad5be755c0c3e732a.jpg
d3b629bd4b2685a300ccc80bbcbe9fe3.jpg
 
Mkuu ni hivi, hiyo tabia ambayo hukubaliani nayo ndio iliyompa madaraka aliyo nayo, katika mazingira hayo unategemea nini? Kibaya zaidi nasema zaidi, mteuzi wake asipokuona unafanya mambo ya hivyo anakuona hauko active. Na ninavyomjua huyo rc hatokaa abadilike kwani hiyo tabia iko kwenye damu yake. Wote tunajua alivyokuwa anajikombalize kwa ile familia kuu iliyotoka magogoni, na kwa sehemu kubwa tabia yake hiyo imempa ulaji. All in all dogo ni kero anakuwa kaa dem bana.

Kweli Mkuu na naona hapo mwishoni umeua balaa!
 
Naona leo Kat ziko chini sana haswa mwendo wa haraka. Polisi na wajela jela wamefanya poa
 
Ameharibu sana na ni matumaini yangu kuwa ataonywa na Wahusika ili hali hiyo isijirudie katika Shughuli zingine kubwa za Kitaifa.
Yule jamaa ni sikio la kufa. Inaonekana haamini kama ni yeye ndo mkuu wa mkoa. Unajua mtu ukitokea mtaani tu ukapewa nafasi ya kukaa kiti cha mbele lazima utaonesha hali ya kuchanganyikiwa kwa sababu hukutegemea kuwepo hapo. Ni sawa na mtu aliyeokota bilioni moja bila kutoa jasho, lazima achanganyikiwe tofauti na aliyezipata kwa kupigika.
 
Back
Top Bottom