Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Hata azam nao wanaongea sanaWaambieni ITV sauti inakatakata na watangazi wao wasiongee muda wote, waache tusikie muziki wa brass band
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata azam nao wanaongea sanaWaambieni ITV sauti inakatakata na watangazi wao wasiongee muda wote, waache tusikie muziki wa brass band
Anataka kuonekana na yeye ni mkuu Wa Itifaki
Hawapatikani Katika dish FTA huku kijijini.Nenda star tv
Hongera ITV kwa picha nzuri sana, je ni utaalamu au mitambo?Rioba ni walewale
Sijui kwa nini, hata kofia haziwadondoki.!Leo mbona hawarushi miguu kwa sifa kama siku zote
Mkuu ni hivi, hiyo tabia ambayo hukubaliani nayo ndio iliyompa madaraka aliyo nayo, katika mazingira hayo unategemea nini? Kibaya zaidi nasema zaidi, mteuzi wake asipokuona unafanya mambo ya hivyo anakuona hauko active. Na ninavyomjua huyo rc hatokaa abadilike kwani hiyo tabia iko kwenye damu yake. Wote tunajua alivyokuwa anajikombalize kwa ile familia kuu iliyotoka magogoni, na kwa sehemu kubwa tabia yake hiyo imempa ulaji. All in all dogo ni kero anakuwa kaa dem bana.
Yule jamaa ni sikio la kufa. Inaonekana haamini kama ni yeye ndo mkuu wa mkoa. Unajua mtu ukitokea mtaani tu ukapewa nafasi ya kukaa kiti cha mbele lazima utaonesha hali ya kuchanganyikiwa kwa sababu hukutegemea kuwepo hapo. Ni sawa na mtu aliyeokota bilioni moja bila kutoa jasho, lazima achanganyikiwe tofauti na aliyezipata kwa kupigika.Ameharibu sana na ni matumaini yangu kuwa ataonywa na Wahusika ili hali hiyo isijirudie katika Shughuli zingine kubwa za Kitaifa.
sio bure pengine taratibu zimebadilika.Sijui kwa nini, hata kofia haziwadondoki.!
Huyu dogo ataishia pabaya.!Amezidisha kuwa na sifa, kujipendekeza na kiherehere sasa hadi Mimi ameshaanza kuniboa.