Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Naomba kukuuliza hivi Mkuu wa Mkoa Paul Makonda siku hizi na yeye amekuwa Mtu wa Itifaki? Kwani namwona anafanya Kazi za Watu wa Protocol na kimsingi yeye anatakiwa tu kumpokea mgeni, kupeana nae mkono kisha kuwaachia Watu wa ( Kazi Maalum / Itifaki ) kuendelea na majukumu yao waliyosomea na kubobea nayo lakini cha kusikitisha yeye huyo huyo RC Makonda anaenda kumpokea Mgeni kisha yeye huyo huyo tena anawasindikiza karibu na kupanda ngazi tena huku akitoa maelekezo. Huyu Mkuu wenu wa Mkoa aache kuwa na sifa na kimbelembele na nina uhakika hata Watu wa Itifaki alionao pale anawakwaza. Kwanini hajifunzi na habadiliki?

Anataka kuonekana na yeye ni mkuu Wa Itifaki
 
Tutapeana hapa kinachojiri kwenye maadhimisho haya. Viongozi mbalimbali wa kitaifa,wastaafu na wa sasa,wanaendelea kuwasili.

Vikosi vya gwaride viko tayari kwa maadhimisho hayo. Kwasasa anawasili Waziri Mkuu Majaliwa K. Majaliwa

.........
Sasa vikosi vinapita mbele ya Rais kwa kutoa heshima
hivi si wewe ulisusa kwenda
 
Waambieni ITV sauti inakatakata na watangazi wao wasiongee muda wote, waache tusikie muziki wa brass band
 
Naomba kukuuliza hivi Mkuu wa Mkoa Paul Makonda siku hizi na yeye amekuwa Mtu wa Itifaki? Kwani namwona anafanya Kazi za Watu wa Protocol na kimsingi yeye anatakiwa tu kumpokea mgeni, kupeana nae mkono kisha kuwaachia Watu wa ( Kazi Maalum / Itifaki ) kuendelea na majukumu yao waliyosomea na kubobea nayo lakini cha kusikitisha yeye huyo huyo RC Makonda anaenda kumpokea Mgeni kisha yeye huyo huyo tena anawasindikiza karibu na kupanda ngazi tena huku akitoa maelekezo. Huyu Mkuu wenu wa Mkoa aache kuwa na sifa na kimbelembele na nina uhakika hata Watu wa Itifaki alionao pale anawakwaza. Kwanini hajifunzi na habadiliki?

Mkuu ni hivi, hiyo tabia ambayo hukubaliani nayo ndio iliyompa madaraka aliyo nayo, katika mazingira hayo unategemea nini? Kibaya zaidi nasema zaidi, mteuzi wake asipokuona unafanya mambo ya hivyo anakuona hauko active. Na ninavyomjua huyo rc hatokaa abadilike kwani hiyo tabia iko kwenye damu yake. Wote tunajua alivyokuwa anajikombalize kwa ile familia kuu iliyotoka magogoni, na kwa sehemu kubwa tabia yake hiyo imempa ulaji. All in all dogo ni kero anakuwa kaa dem bana.
 
Nani aliona alichofanya JPM wakati anarudi kwenye jukwaa kuu baada ya kumaliza kukagua gwaride, alikuwa analeta utani huku akitanua mikono kuiga mwendo wa kijeshi wa haraka
Mi nimeona nikaipenda
 
Halafu watangazaji wa ITV wapunguze kuongea!...wawe wanatupia maneno ya hapa na pale, si kuwa kama wao ndio wenye shughuri. Mf. wakati wa mizinga na hata ukaguzi wa vikosi wanabwabwaja tu hata muziki wa brass band hausikiki!
Angalia station nyingine
 
Back
Top Bottom