Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Ni kosa kubwa sana kwani anaingilia Kazi / Majukumu ya Watu. Kwanini huyu Mtu hapewi mafunzo ya kumbadili kutoka kuwa Mtu wa kawaida kama alivyokuwa, Mkuu wa Wilaya na Ukuu wa Mkoa alionao sasa hasa wa Kiitifaki? Anaboa bhana!
Anadhani anavyoingilia kazi za Ma meya na wenyeviti wa mitaa ndio kila mahali. Pale anaweza kuharibu jambo waka mzabua kofi bure! Kwenye suala la usalama hawatambui mkuu wa mkoa ni nani.
 
Namshangaa sana, namuona nyuma ya rais wkt mizinga inapigwa, waziri wa nchi anamshangaa, yule askali nyuma ya makonda ana smile tu. Something wrong with protocality

Kuna Watu watakuja hapa na kusema kuwa nina chuki nae lakini hapo hapo wamesahau kuwa Kiueledi kabisa shughuli zote za Kiitifaki zinaandaliwa na kupangwa kiutaalam mno ( waliopitia huko watanielewa vizuri hapa ) na kitendo cha RC Makonda kuwa na kiherehere vile anaharibu hesabu zao na si kitu kizuri hasa kiutendaji. Nitoe rai huyu Mtu apewe induction course kidogo tu ya masuala ya Protocols kwani nina uhakika anawaboa sana Watu wenye uzoefu nayo halafu ajifunze kuwa siyo kila tukio basi lazima na yeye kama RC awepo bali atulie Wanamume wafanye Kazi zao. Nimesikitika mno tu!
 
Kuna Watu watakuja hapa na kusema kuwa nina chuki nae lakini hapo hapo wamesahau kuwa Kiueledi kabisa shughuli zote za Kiitifaki zinaandaliwa na kupangwa kiutaalam mno ( waliopitia huko watanielewa vizuri hapa ) na kitendo cha RC Makonda kuwa na kiherehere vile anaharibu hesabu zao na si kitu kizuri hasa kiutendaji. Nitoe rai huyu Mtu apewe induction course kidogo tu ya masuala ya Protocols kwani nina uhakika anawaboa sana Watu wenye uzoefu nayo halafu ajifunze kuwa siyo kila tukio basi lazima na yeye kama RC awepo bali atulie Wanamume wafanye Kazi zao. Nimesikitika mno tu!
Makonda anajihisi yey ana nafasi kubwa sana
 
Anadhani anavyoingilia kazi za Ma meya na wenyeviti wa mitaa ndio kila mahali. Pale anaweza kuharibu jambo waka mzabua kofi bure! Kwenye suala la usalama hawatambui mkuu wa mkoa ni nani.

Upo sahihi Mkuu na kwa dalili nilizoanza kuziona na kwa jinsi alivyokuwa anazidi kuwaboa Wazee wa Kazi maalum na Itifaki kwa kimbelembele na kujipendekeza kwake angepigwa makofi muda si mrefu. Na bahati nzuri sana hawa Jamaa wa Kazi Maalum na Itifaki wamepewa meno yote kumpa discipline Mtu yoyote bila kujali Cheo / Mamlaka yake aliyonayo nchini kama anataka kuharibu ratiba na taratibu zao za Kiutendaji na RC wenu ajue kuwa kila kitu hapo kimepangwa hivyo akiwaingilia anaweza kuchelewesha na kuharibu ratiba za siku nzima jambo ambalo kutokana na ugeni mkubwa wa Kimataifa uliopo hapo tutaonekana ni Watu wa ajabu. Mfundisheni mambo ya Itifaki na aache uswahili katika Kazi za Watu.
 
Mbona hamna marais wa nchi jirani pia simuoni mke wa rais kwenye shughuli hii muhimu
 
Upo sahihi Mkuu na kwa dalili nilizoanza kuziona na kwa jinsi alivyokuwa anazidi kuwaboa Wazee wa Kazi maalum na Itifaki kwa kimbelembele na kujipendekeza kwake angepigwa makofi muda si mrefu. Na bahati nzuri sana hawa Jamaa wa Kazi Maalum na Itifaki wamepewa meno yote kumpa discipline Mtu yoyote bila kujali Cheo / Mamlaka yake aliyonayo nchini kama anataka kuharibu ratiba na taratibu zao za Kiutendaji na RC wenu ajue kuwa kila kitu hapo kimepangwa hivyo akiwaingilia anaweza kuchelewesha na kuharibu ratiba za siku nzima jambo ambalo kutokana na ugeni mkubwa wa Kimataifa uliopo hapo tutaonekana ni Watu wa ajabu. Mfundisheni mambo ya Itifaki na aache uswahili katika Kazi za Watu.
Umenikumbusha katibu tarafa mmoja pale Iringa aliitwa MBIGILI alikuwa na kiherehere sana.Mwaka 1987 alikuja Rais mzee Mwinyi pale kiwanda cha Tancut basi mzee Mbigili akataka kuwahi kumfungulia mlango wa gari Rais,kwa kasi ya umeme hatukuona kilichotokea ila tulimshuhudia Mbigili amelazwa chali pembeni ya barabara akiwa hajitambui/amezimia
 
Mama salma kaja kuzuga..wali mzee blueprint kagame
 
Makonda anajifanya aggressive sana nashauri apelekwe mikoa ile ambayo bado haijachanganya sana akakimbize kule! Maana anajiona yeye ana akili zaidi ya wanye professional wote Dar....ni yeye tu! Misifa camp
 
Naomba kukuuliza hivi Mkuu wa Mkoa Paul Makonda siku hizi na yeye amekuwa Mtu wa Itifaki? Kwani namwona anafanya Kazi za Watu wa Protocol na kimsingi yeye anatakiwa tu kumpokea mgeni, kupeana nae mkono kisha kuwaachia Watu wa ( Kazi Maalum / Itifaki ) kuendelea na majukumu yao waliyosomea na kubobea nayo lakini cha kusikitisha yeye huyo huyo RC Makonda anaenda kumpokea Mgeni kisha yeye huyo huyo tena anawasindikiza karibu na kupanda ngazi tena huku akitoa maelekezo. Huyu Mkuu wenu wa Mkoa aache kuwa na sifa na kimbelembele na nina uhakika hata Watu wa Itifaki alionao pale anawakwaza. Kwanini hajifunzi na habadiliki?
Nashukuru kama na wewe umeliona!
Hivi najiuliza Rais, Makumu wake na PM hawawezi kupanda gari moja kwenda uwanjani? Tuna bana matumizi pamoja na kupunguza foleni.
lazima itifaki izingatiwe!
 
Mtangazaji anaomba watu washangilie!!!
Halafu watangazaji wa ITV wapunguze kuongea!...wawe wanatupia maneno ya hapa na pale, si kuwa kama wao ndio wenye shughuri. Mf. wakati wa mizinga na hata ukaguzi wa vikosi wanabwabwaja tu hata muziki wa brass band hausikiki!
 
Back
Top Bottom