Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano wako haufanani kabisa na swali langu kiongozi.Ni kama wewe uishi chumba kimoja wewe mkeo na mama mkwe. Kubana matumizi. Unaweza?
Wewe upo Gamboshi unatuletea habari za DarTutapeana hapa kinachojiri kwenye maadhimisho haya. Viongozi mbalimbali wa kitaifa,wastaafu na wa sasa,wanaendelea kuwasili.
Vikosi vya gwaride viko tayari kwa maadhimisho hayo. Kwasasa anawasili Waziri Mkuu Majaliwa K. Majaliwa
Kwa hio hapo ndio umejibu swali nililoliwekea q mark?Mfano wako haufanani kabisa na swali langu kiongozi.
Mama kamkataza labdaJamani mbona kipenzi chetu JK hayupo?
Ndiyo wapi Mkuu?Wewe upo Gamboshi unatuletea habari za Dar
Bado nakataa sababu ulinzi alionao Rais wetu ni imara sana na hauna mfano, mbona mikoani anapanda gari moja na RC?Kwa hio hapo ndio umejibu swali nililoliwekea q mark?
Kifupi haiwezekani kwa sababu za kiusalama.
Nimemuona Lipumba.Jamani mbona kipenzi chetu JK hayupo?
Inawezekana kabisaNi kama wewe uishi chumba kimoja wewe mkeo na mama mkwe. Kubana matumizi. Unaweza?
Hata mimi nashangaa sana. Hakupaswa kufanya hivyo
Baada ya Muungano,Tanganyika ikawa Tanzania Bara.Hivi Petro umekwenda shule kweli hakuna inchi inayoitwa Tanzania bara wewe unazungumzia inchi gani