Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
TBC 1 kwa uchakavu wao kama wanatuonyesha sherehe za Uhuru za mwaka 1982 kumbe ni za leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waziri Mkuu.!Naomba kuuliza kati ya Waziri na Mkuu wa mkoa nani yupo juu kwenye itifaki katika sherehe ya Taifa?
Iwe utaalamu au mitambo ni sawa la boss kulijua hilo na kuchukua hatuaHongera ITV kwa picha nzuri sana, je ni utaalamu au mitambo?
Yule jamaa ni sikio la kufa. Inaonekana haamini kama ni yeye ndo mkuu wa mkoa. Unajua mtu ukitokea mtaani tu ukapewa nafasi ya kukaa kiti cha mbele lazima utaonesha hali ya kuchanganyikiwa kwa sababu hukutegemea kuwepo hapo. Ni sawa na mtu aliyeokota bilioni moja bila kutoa jasho, lazima achanganyikiwe tofauti na aliyezipata kwa kupigika.
Ahahaha,kumbe na wewe umemuona!mwangalie MOTOCHINI,Ameiweka Hapo Juu!Nani aliona alichofanya JPM wakati anarudi kwenye jukwaa kuu baada ya kumaliza kukagua gwaride, alikuwa analeta utani huku akitanua mikono kuiga mwendo wa kijeshi wa haraka
Sasa mbona Mkuu wa mkoa ndiye amekaa mbele na kuanza kupokea wageni halafu anafuata waziri,Waziri Mkuu.!
Mh!! Darasa tena kwenye Uhuru!!!Magufuli Full Comedy,ahahaha!ila ni so amazing!
Sasa ebu weka na ile biti ya Muziki ya Darasa...dah
Hata mama mkubwa sijamuona.Sijamuona Lema
TBC 1 wanakera sanaTBC 1 kwa uchakavu wao kama wanatuonyesha sherehe za Uhuru za mwaka 1982 kumbe ni za leo.
Nasubiri mbwembwe za makomandooWimbo wa taifa sasa.!
Hizi sherehe mwaka huu zimepoa sana aisee.!
Huyu dogo ataishia pabaya.!
Kweli haikupendeza kufanya vileInashangaza sana kufanya mzaha mbele ya makamanda wa jeshi.
Umenikumbusha katibu tarafa mmoja pale Iringa aliitwa MBIGILI alikuwa na kiherehere sana.Mwaka 1987 alikuja Rais mzee Mwinyi pale kiwanda cha Tancut basi mzee Mbigili akataka kuwahi kumfungulia mlango wa gari Rais,kwa kasi ya umeme hatukuona kilichotokea ila tulimshuhudia Mbigili amelazwa chali pembeni ya barabara akiwa hajitambui/amezimia
Makonda siku atajichanganya, kiusalama hakuna anaeaminiwa. Taasisi ya rais haina partner. Inataratibu zakeUmenikumbusha katibu tarafa mmoja pale Iringa aliitwa MBIGILI alikuwa na kiherehere sana.Mwaka 1987 alikuja Rais mzee Mwinyi pale kiwanda cha Tancut basi mzee Mbigili akataka kuwahi kumfungulia mlango wa gari Rais,kwa kasi ya umeme hatukuona kilichotokea ila tulimshuhudia Mbigili amelazwa chali pembeni ya barabara akiwa hajitambui/amezimia
YupoMama salma kikwete yupo?
Jecha nae amekuja na nini kutoka Zanzibar?