Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

unapoongelea international standards basi unaipata hapa kwe kwata ya kimya kimya yaann hapa hupati kigugumizi kukubali.........mi nmeona ya kimyakimya jamani daaah very good
 
Kwanza Kenya wanatoa uraia kwa yeyote anayependa nchi ile. Pili, hapo ni uwanja wa maonyesho sio vitani, ulitaka wachimba mahandaki na kufyatua risasi na kuchukua watu? Wajaribu kwa wakati wako uone kama sio makomando.
 
Hivi najiuliza Rais, Makumu wake na PM hawawezi kupanda gari moja kwenda uwanjani? Tuna bana matumizi pamoja na kupunguza foleni.
Hakuna kitu kama hicho kama mmoja akitokewa na ajali unataka nchi isiwe na kiongozi?? Duh jamani kazi ipo
 
ungeweka hao wa kenya kidogo tungaweza linganisha, nacho fikiria kwenye maonesho huwa hauoneshi silaha za kisasa ama mafunzo ya juu zaidi ndo maana jamaa wameonesha ya kawaida
hebu kawacheki makomandoo wa korea on youtube
 
ungeweka hao wa kenya kidogo tungaweza linganisha, nacho fikiria kwenye maonesho huwa hauoneshi silaha za kisasa ama mafunzo ya juu zaidi ndo maana jamaa wameonesha ya kawaida
Nazungumzia kikosi cha komando ambacho kimeonyesha sarakasi na karate uchwara
 
Hawa wajomba nimewaelewa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…