TASMANIA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 657
- 724
Duuu!! Ben na Mkwere? PK M7 Piere??? Mugabe Zuma???? Wapo hawa waheshimiwaSijaona raisi yeyote wa nchi nyingine.!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuu!! Ben na Mkwere? PK M7 Piere??? Mugabe Zuma???? Wapo hawa waheshimiwaSijaona raisi yeyote wa nchi nyingine.!
Dah...unaleta mambo gani bana?? Uhuru ni wa WATANZANIA WOTE[emoji15] [emoji15] [emoji15]Kwa hali hii chadema kwisha habari yao
Sio wale MakomandoHawa wa kimya kimya ndio wameitendea haki sherehe
Hakuna kitu kama hicho kama mmoja akitokewa na ajali unataka nchi isiwe na kiongozi?? Duh jamani kazi ipoHivi najiuliza Rais, Makumu wake na PM hawawezi kupanda gari moja kwenda uwanjani? Tuna bana matumizi pamoja na kupunguza foleni.
hebu kawacheki makomandoo wa korea on youtubeungeweka hao wa kenya kidogo tungaweza linganisha, nacho fikiria kwenye maonesho huwa hauoneshi silaha za kisasa ama mafunzo ya juu zaidi ndo maana jamaa wameonesha ya kawaida
Na majigamboNasubiri vijembe.
Dah...Yaani wewe ndiyo jinga kuu la siku ya uhuru[emoji13] [emoji13]
Nazungumzia kikosi cha komando ambacho kimeonyesha sarakasi na karate uchwaraungeweka hao wa kenya kidogo tungaweza linganisha, nacho fikiria kwenye maonesho huwa hauoneshi silaha za kisasa ama mafunzo ya juu zaidi ndo maana jamaa wameonesha ya kawaida
Anakata kiuno balaaa..Asante Baloteli
Hahah. Mkuu ben yuko wapi?CHADEMA wangekuwepo ungewaona wengi tu.