Jick
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 1,327
- 2,041
Unaweza kutoa mfano hai wa unachokisema??Bado nakataa sababu ulinzi alionao Rais wetu ni imara sana na hauna mfano, mbona mikoani anapanda gari moja na RC?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kutoa mfano hai wa unachokisema??Bado nakataa sababu ulinzi alionao Rais wetu ni imara sana na hauna mfano, mbona mikoani anapanda gari moja na RC?
Kumbuka mkoa uko chini ya UKAWA, inawezekana amepewa power of utonomy kwa mkoa wa Dar.Ni kosa kubwa sana kwani anaingilia Kazi / Majukumu ya Watu. Kwanini huyu Mtu hapewi mafunzo ya kumbadili kutoka kuwa Mtu wa kawaida kama alivyokuwa, Mkuu wa Wilaya na Ukuu wa Mkoa alionao sasa hasa wa Kiitifaki? Anaboa bhana!
kweli mkuuAlipokufa Miraji na Kipingu Kuondoka Ndio Ikawa the Beginning of the End of Makongo!
Mkuu,usisahau kupita na pale Makongo,even though,afande Miraji is no more,umwage hata mvinyo pale nje kwa heshima yake!
Please! NaiombaNinayo video kwenye facebook na whtapp
Bora hata hawa wamatumbi 😀😀Dah... unataka chura waingie?[emoji13] [emoji13]
Hili swali tumeshawWlekeza sehemu ya kwenda kuliuliza.. mange kimambiMama janeth nae yuko wapi?
Kuna mhimili wa siri aliopewa ili aweze kupambana na UKAWA.Anadhani anavyoingilia kazi za Ma meya na wenyeviti wa mitaa ndio kila mahali. Pale anaweza kuharibu jambo waka mzabua kofi bure! Kwenye suala la usalama hawatambui mkuu wa mkoa ni nani.
Anamaliza kwanza na Waburundi katika suala zima la kutafuta Amani kwani anaona wanampa tu headache kwa matatizo yao yasiyoisha kila kukicha.
Acha kumkejeli mtu anayelala uchi na RaisOur lovely mama first lady yuko wapi leo...ama mzee kamchezeshea the alleged makofi tena?I hope hizi tuhuma si za kweli, I see her to be a very decent woman, she doesn't deserve any bad treatment
Ndio nini?Weni picha
Vipi tukijaribu kukupiga wewe na hayo matofali ambayo ratio yake ni 1:300?Tatizo mkuu ni kuwa ulipoona makomandoo na kwa kuwa wewe u mwizi wa demu wake basi woga ukakujaa. Chunguza kidogo ukiipata hiyo clip kuhusu hayo matofali. Au chukua clip ya sehemu ya matofali mwonyeshe fundi ujenzi akuambie hayo matofali ambayo yakipigwa nyundo moja badala ya kuvunjika yenyewe yana mengenyuka na kugeuka unga ni vipi?
Utagundua kuwa hata wewe waweza kuwa komandoo. Hayo ni yale ya Ratio ya Mfuko 1= tofali 200
Tatizo mkuu ni kuwa ulipoona makomandoo na kwa kuwa wewe u mwizi wa demu wake basi woga ukakujaa. Chunguza kidogo ukiipata hiyo clip kuhusu hayo matofali. Au chukua clip ya sehemu ya matofali mwonyeshe fundi ujenzi akuambie hayo matofali ambayo yakipigwa nyundo moja badala ya kuvunjika yenyewe yana mengenyuka na kugeuka unga ni vipi?
Utagundua kuwa hata wewe waweza kuwa komandoo. Hayo ni yale ya Ratio ya Mfuko 1= tofali 200
Hahaha nimebadili channelHawa wanyakyusa na ngoma zao za asili bora wamalize tu
Don't judge a book by its coverOur lovely mama first lady yuko wapi leo...ama mzee kamchezeshea the alleged makofi tena?I hope hizi tuhuma si za kweli, I see her to be a very decent woman, she doesn't deserve any bad treatment
Hili swali chokonozi mno. Ngoja waje wahusika kulijibu.Our lovely mama first lady yuko wapi leo...ama mzee kamchezeshea the alleged makofi tena?I hope hizi tuhuma si za kweli, I see her to be a very decent woman, she doesn't deserve any bad treatment