Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Sasa huyu nae kama muhindi anaetoa nyoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unàonaje ukitafuta nchi ambayo uko impressed nayo, utupunguzie jam hapa nchini kwetu??[emoji15] [emoji15]Kha, sijui kwa nini siko moved na haya mambo. Najitahidi kuipenda hii nchi nsshindwa kabisa! Siko impressed hata kidogo na yoote yanayofanyika hapo! Kha!
Ndiyo wapi Mkuu?
Wanaume huwa hawaogopani mkuuMkuu bado hujanishawishi na naona kama vile unataka nikafe mubashara. Haya sawa yale matofali ni ya magumashi je na ile misumari 200 nayo ni feki? Mkuu hivi unanipenda na kunitakia mema kweli kwa aina yako hii ya ushawishi kwangu?
Hata kama alikosa dawa hospitali, mkewe kujifungua aliambiwa alipe 150,000 bado anasheherekea nchi yake kuwa huru.Binadamu tunatofautiana aisee,yani mtu kaamka asubuhi kaoga kavaa,kapanda daladala kutoka tegeta madale kaenda uwanja wa taifa kusherehekea uhuru..dah
Hawa wanyakyusa na ngoma zao za asili bora wamalize tu
Hehehhehe mkuu Genta hahahahahahah acha uoga[emoji23] [emoji23] [emoji23]Baada tu ya kumaliza kuona demo ya Makomandoo iliyoisha hivi punde nimeamua rasmi kuachana rasmi na Demu wangu mmoja ambaye Bwana wake nae ni Komando. Bado nayapenda sana maisha halafu sioni sababu ya Mimi kuteseka wakati muhusika mwenyewe tu kaweza kuivumilia misumari kama 200 imchome mgongoni mwake huku wenzake wakimtimba na kumkanyaga na Jamaa kaamka akiwa yupo fiti tu. Sasa sijui akinifumania nae Demu wake atanifanyeje! Mpenzi wangu nakupenda sana ila Mumeo Komandoo huyo anapendwa zaidi na misumari na yale matofali hivyo isiwe taabu / shida tuachane tu tafadhali.
Makomando vitambi wasikutishe hawana mazoezi haoBaada tu ya kumaliza kuona demo ya Makomandoo iliyoisha hivi punde nimeamua rasmi kuachana rasmi na Demu wangu mmoja ambaye Bwana wake nae ni Komando. Bado nayapenda sana maisha halafu sioni sababu ya Mimi kuteseka wakati muhusika mwenyewe tu kaweza kuivumilia misumari kama 200 imchome mgongoni mwake huku wenzake wakimtimba na kumkanyaga na Jamaa kaamka akiwa yupo fiti tu. Sasa sijui akinifumania nae Demu wake atanifanyeje! Mpenzi wangu nakupenda sana ila Mumeo Komandoo huyo anapendwa zaidi na misumari na yale matofali hivyo isiwe taabu / shida tuachane tu tafadhali.
Kumbuka mkoa uko chini ya UKAWA, inawezekana amepewa power of utonomy kwa mkoa wa Dar.
Sasa kama hayuko impressed asiseme?Unàonaje ukitafuta nchi ambayo uko impressed nayo, utupunguzie jam hapa nchini kwetu??[emoji15] [emoji15]
Mkuu, hujaona za wanyakyusa na wamatumbi au ulitaka makabila yote yaonyeshe ngoma zao hapoHivi inamaana mikoa ya Ukanda wa Pwani na Zanzibar ndo kuna ngoma za asili? Mbona sioni ngoma za waha, wasukuma, wahaya n.k.
Mimi ninachoshangaa ule utall wote anashindwa kumrushia makonzi yule bwana mfupi?Hili swali chokonozi mno. Ngoja waje wahusika kulijibu.
Sema nini yule mama, ashukuriwe Mungu kwa kumpa roho ya uvumilivu, najua kabisa atakuwa anakutana na "misalaba" mizito sana. Laiti angekuwa Sundi, mboga na ugali vingekuwa vinamwagwa kila siku.
Nachompendea hajawahi tafuta attention ya vyombo vya habari.
Ile misumari unaweza ikalia na isikudhuru sababu ya wingi, ningewaelewa kama ungekuwa msumari mmoja tu then wafanye yale wanayo yafanya hahahaaaaMkuu bado hujanishawishi na naona kama vile unataka nikafe mubashara. Haya sawa yale matofali ni ya magumashi je na ile misumari 200 nayo ni feki? Mkuu hivi unanipenda na kunitakia mema kweli kwa aina yako hii ya ushawishi kwangu?
Level ya hawa makomandoo na walichoonyesha ni aibu kwa taifa na kuwaita makomandoo ni kushusha hadhi ya hilo jina na ndio wale wakimarekani wanaitwa special force/ marine. Hawa ukiwapeleka kule marekani kwenye mafunzo ya miezi sita hata wiki moja hawatamaliza watakuwa wamerudi wachache wakiwa haiKomando wanakunja nondo kwa mikono
Komando wanapigana kwa fito hadi kuvunjika
Sasa ni zoezi la kuvuja tofali kifuani na kichwani mwa komando
Komando analalia misumari mgongo wazi
Komando wanasukuma gari lililoharibika hadi kutembea
Huyu mama kazidi upole ningekuwa Mimi nampiga roba na full makonzi Mpaka anyooke aisee na hivi ni adunjeMimi ninachoshangaa ule utall wote anashindwa kumrushia makonzi yule bwana mfupi?