Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ki uhalisia ipo hivyo, mwanaume ambae anapenda aonekane kwenye jamii, mara nyingi nyumbani kwake hana sauti kabisaaa...Inawezekana akiwa home ni mpole tu
Anaonyesha tu huyoTeh Teh....umejuaje Diva Beyonce
Ulitaka afanyaje labda...Jamaa hajui hata itifaki.... Linajisemea tuu.....
Tanzania baraNchi gn
Ndiyo sababu inayotolewa hasa kwenye vyombo vya usafiri.Mkuu hujanishawishi sababu kama ni usalama mbona uwanjani wanakaa pamoja?
Wazazi wako wanahasara kubwa sana!The moment of shock,lazima azue taharuki,ila leo anasoma madesa
Huwa wanajihisi wanadharaulika ila hawajiamini so hyo ndo defense mechanism yao. Walah mama aache ugoi goi amtafte mama lodilofa ampe darasa aiseeWatu wafupi wanakuwaga wababe sana, unamkung'uta makonzi, hawezi kulalamika kokote kuwa mke wangu alinipiga.
Ok mkuuNdiyo sababu inayotolewa hasa kwenye vyombo vya usafiri.
haujui au unajitoa ufahamu...??Ulitaka afanyaje labda...
Mungu mtu [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hebu tuache utani, hivi kama Lowasa angeweza kweli kuvumilia vishindo vya mizinga hii kweli? Mungu ametupa rais imara sana, asante Mungu