Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Mkuu anasema Mwinyi kamwambia awe na wake wawili ili aishi miaka mirefu. Huku ni kumfulastrate mama
huyo mama kazi anayo, tangu kipindi cha kampeni hata siku ile kikwete anamkumbusha amtambulishe mkewe jibu alilotoa pale halikuwa zuri
 
Hivi najiuliza Rais, Makumu wake na PM hawawezi kupanda gari moja kwenda uwanjani? Tuna bana matumizi pamoja na kupunguza foleni.
Basi, kwa ni nani ana shida nawo. Kuimarisha tu usalama na inteligensia au makachero
 
JPM ''Sherehe za miaka 55 nimeamua zifanyike kwa sababu gharama zake ni ndogo sana, kwanza HAKUTAKUWA NA CHAKULA BAADA YA SHEREHE HIZI, HAKUNA DHIFA ZA KITAIFA........... BAADA YA HAPA KILA MTU KWENU..........
 
Back
Top Bottom