habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,749
huyo mama kazi anayo, tangu kipindi cha kampeni hata siku ile kikwete anamkumbusha amtambulishe mkewe jibu alilotoa pale halikuwa zuriMkuu anasema Mwinyi kamwambia awe na wake wawili ili aishi miaka mirefu. Huku ni kumfulastrate mama
Basi, kwa ni nani ana shida nawo. Kuimarisha tu usalama na inteligensia au makacheroHivi najiuliza Rais, Makumu wake na PM hawawezi kupanda gari moja kwenda uwanjani? Tuna bana matumizi pamoja na kupunguza foleni.
basi mtoto nae kamshindwa baba yake, au kaamua kumwacha tu liwalo na liweYupo. Ni humphrey P
Mama kistuli aliona isiwe shida tengua tu viungo Mpaka akanyooka, mwenyewe ningemvizia tu chah haya mambo ya upole.Mama kistuli sio mtu wa sport sport
Kama wanakaa pamoja kwenye vikao sioni tatizo pia kusafiri pamoja.Basi, kwa ni nani ana shida nawo. Kuimarisha tu usalama na inteligensia au makachero
Hahahahha,hivi White House huwaga kuna kuzamia sherehe kweli?Dah...sijui itakuwaje leo...maana wengine hatukujiandaa kabisa[emoji13] [emoji13]
Kashaacha kusoma tayari husikii alivyoanza kuchepuka?Kuna mda vikimkolea anaanza kwenda off script
Hivi kumbe huwa hana mke wala watoto, hebu tupe taarifa vizuri imetokeaje hiyo kwa umri ule?Hana mke hana watoto aibu ya nini?
Wadada wa mujini wajipangeez hli zali laweza muangukia mtuuMkuu anajiandaa kuvuta Jiko jipya
Mtoto mwenyewe zimo kwani?basi mtoto nae kamshindwa baba yake, au kaamua kumwacha tu liwalo na liwe
Hahahah mi nampendaga tu when it comes to numbers..mpaka nuktaaaKashaacha kusoma tayari husikii alivyoanza kuchepuka?
Acha porojoNdege sita zimeshanunuliwa