Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Lowassa yupo?
Tunampenda sn sie watanzania
 
Wakuu mnijuze kiitifaki inakuaje CDF kukaa upande wa kulia mwa Rais wakiwa kwenye gari la wazi?
 
Namshangaa sana, namuona nyuma ya rais wkt mizinga inapigwa, waziri wa nchi anamshangaa, yule askali nyuma ya makonda ana smile tu. Something wrong with protocality
 
Namshangaa sana, namuona nyuma ya rais wkt mizinga inapigwa, waziri wa nchi anamshangaa, yule askali nyuma ya makonda ana smile tu. Something wrong with protocality
Makonda hajui yupo pale kama nani, huwa nahisi anajiona ana nafasi kubwa kwa JPM labda kuliko PM Majaliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…