King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Baloteli Kimya Kimya Katisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamvi hana ubavu wa namna hiyoHebu tuache utani, hivi kama Lowasa angeweza kweli kuvumilia vishindo vya mizinga hii kweli? Mungu ametupa rais imara sana, asante Mungu
Duh, Mkuu nadhani udereva na ukonda waliacha kabisaKuna siku,nakumbuka ilikuwa ni jumatatu,sasa utaratibu ulikuwa ni kuwa daladala zote zinazopita hapo haziruhusiwi kushusha mwanafunzi,option ilikuwa ni ama yawashushie mwenge au kona ya kawe!halafu wanafunzi watembee kwa mguu toka mwenge mpaka makongo au kawe mpaka makongo!sasa kuna siku konda mmoja alijichanganya akatususha makongo badala ya mwenge!halafu siku mvua ilinyesha!sasa wajenda walichofanya ni kuipiga basi mkono!waka walaza dereva na konda uwanjani pale yanakopaki magari!bahati nzuri siku hiyo mvua ilinyesha!sasa kulikuwa na vidimbwi kama mia hivi kwenye hio parking lot!sasa ile parking lot ni kama kiwanja cha mpira mmoja!sasa,konda na dereva wakaambiwa wapige mbizi!ahahaha!yale madimbwi yalikuwa kama yana urefu wa inchi moja hadi tano kwenda chini!waliogelewa toka saa nne hadi saa nane tunaenda nyumbani!
ZenziberiTanzania bara ilipata uhuru kutoka kwa mkoloni yupi?
GENTAMYCINE Yupo Kambi ya Malindi atakuwa anajua Ben Yupo Wapi.Hahah. Mkuu ben yuko wapi?
We mtu sio!!Baada tu ya kumaliza kuona demo ya Makomandoo iliyoisha hivi punde nimeamua rasmi kuachana rasmi na Demu wangu mmoja ambaye Bwana wake nae ni Komando. Bado nayapenda sana maisha halafu sioni sababu ya Mimi kuteseka wakati muhusika mwenyewe tu kaweza kuivumilia misumari kama 200 imchome mgongoni mwake huku wenzake wakimtimba na kumkanyaga na Jamaa kaamka akiwa yupo fiti tu. Sasa sijui akinifumania nae Demu wake atanifanyeje! Mpenzi wangu nakupenda sana ila Mumeo Komandoo huyo anapendwa zaidi na misumari na yale matofali hivyo isiwe taabu / shida tuachane tu tafadhali.
Kumbe show off yao inategemea chadema.CHADEMA wangekuwepo ungewaona wengi tu.
Mkuu,usisahau kupita na pale Makongo,even though,afande Miraji is no more,umwage hata mvinyo pale nje kwa heshima yake!Huyo Kiongozi wao Luteni Mrope nakumbuka nilikutana nae mwaka juzi maeneo ya Ubungo akiwa anatokea Viwanja vya sabasaba kipindi kile na wao walipokuwa wameenda pale na nilipeana nae mkono tu kwa kusalimiana kwakuwa mdogo wake ni mshkaji wangu mno lakini yale maumivu ya ile salamu yetu ya kupeana nae mikono ambayo yalidumu kwa wiki mbili ilifanya tu niamini kuwa hawa Makomandoo siyo watu wa sports sports. Ngoja nijiandae leo jioni kwenda kunywa bia za bure Lugalo kwani najua Komando Luteni Mrope lazima atasababisha tu. Kuwa na Marafiki Makomandoo raha sana kwani huonewi kijinga kijinga na Masela.