Yaliyojiri VPL: Simba SC vs Yanga SC - 20 October 2013

Status
Not open for further replies.
Leo mtamkumbuka Kaseja.
 
Last edited by a moderator:
Twite anarusha kama kona........

Ni kona kuelekea lango la Simba...

Dhaira anatema sana mpira...

Niyonzima anapiga kona...Dhaira anadaka
 
Dakika ya 25

Simba 0-1 Yanga

Simba wanakoswakoswa......
 
....mpaka sasa hivi uwezekano wa Simba kusawazisha ni mkubwa.
 
Ongeza goli lingine vijana wa jangwani.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…