Yaliyojiri VPL: Simba SC vs Yanga SC - 20 October 2013

Yaliyojiri VPL: Simba SC vs Yanga SC - 20 October 2013

Status
Not open for further replies.
Ovyo tu hawa hawana lolote wanaiharibu soka ya bongo

Nyie ndo huwa mnasababisha watu wapewe ban ningekutukana pu*mb**u lakini ngoja niache kwa kifupi peleka hasira zako huko au toka kabisa kwenye hii thread hamia majukwaa mengine
 
Dah.......Mkude anamchezea rafu mbaya sana Domayo......

Kadi ya njano.....
 
Domayo kachezewa rafu mbaya sana.....

Last time Domayo huyuhuyu alichezewa rafu mbaya sana na Haruna Moshi 'Boban'...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom