Yaliyojiri VPL: Simba SC vs Yanga SC - 20 October 2013

Status
Not open for further replies.
Mkuu NGANU lete updates pls.
Maana nimechelewa na ndio naingia home sasa so siwezi kuwahi taifa.
 
Last edited by a moderator:
Yanga aka yebo wataisoma leo, naona florian kaijage now live tbc 1
 
kocha anaakili sana kumweka kiemba bench hiyo ni mind game kawachezea yebo yebo
 
Yanga wanacheza pasi maridadi kabisa na mbwembwe nyingi hapa uwanjani.
 
Dakika ya pili, Ball Possesion ni 98 kwa 2. Yanga 98 - Simba 2
 
Mtani Katavi nakuona jamvini ukisubiri mtanange wa Leopoldo hahahahaha
 
Mpira umeanza....kuna historia ambayo naona watu wameamua kujisahaulisha...Yanga kushinda Jpili huwa ni ngumu sana!! Ngoja tuone kama hii rekodi bado ina-exist ama mwiko ulivyavunjwa!!
 
Mpira umeanza....kuna historia ambayo naona watu wameamua kujisahaulisha...Yanga kushinda Jpili huwa ni ngumu sana!! Ngoja tuone kama hii rekodi bado ina-exist ama mwiko ulivyavunjwa!!

ukifata historia hata Chelsea isingebeba UEFA.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…