Yaliyojiri Weekend ya jana Kidimbwi

Yaliyojiri Weekend ya jana Kidimbwi

Watu wengi wanaobeti haya huwa ni mawazo yao. Yakiwakaa sana akilini huwa wanayatoa kama stori zilizowakumba/kuzifanya.

Sijasema wewi lakini, japo unaweza kuwa wewe.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji28]
 
Habari wadau,

Ukiambiwa mjini starehe gharama usikodoe macho .

Kama ilivoada jana nilitoka out peke yangu nikaenda kidimbwi kumalizia weekend.Nilitoka kwangu mida ya saaa tatu usiku nikafika nikakaa maeneo ya kaunta nilimkuta mshikaji mmoja na madem wawili wanakula kilaji.Mwamba alikunywa safari madem wote walikunywa savana.

Niliagiza moet nikaanza kula taratibu wale alafu sina habari na dem .Jirani yangu aliwaagizia wale madem savana 5 kila mmoja nikaona akatoa waleti kwa mbali mchuzi umeelekea mwisho nikajisemea kwa hawa madem ninavowaona hafiki nao mbali.

Wadau kufika muda wa saa saba usiku madem wanataka waongezwe pombeee jamaaa hana pesa anataka waondoke madem wakagoma ondoka mwenyewe kikukweli vilikuwa ni visu vya hatari rangi ya mtume.

Mimi nikasimama nikanza kucheza cheza sina habari mtoto mmoja akaniletea kiuno wadau nikakipasa na akanisusia trakooo loteee wote mmoja wapo kati ya yule aliekuwa dem wa mshikaji.Nikamuita muhudumu wape savana 10 wakuuuu wote wawili walihamia kwangu mshikaji alipata hasira akasepa.

Wamenikatikia nikasema mida ya saa 10 msinitie nyege tuondokeni .Tukaingia kwenye gari hadi Hotel nimewala wote tena show ya kibabe,nimewaachia 150 wagawane.

Wameshukuru kichizi kumbe ni watoto wa chuo mshikaji aliewatoa ni mwanachuo mwenzao wakaniambia huwa akibeti akishinda ndo anawatoa out wakaniambia sisi ni friends tuko second yr ukituhitaji mda wowote tuwasiliane nikawambia wasijar .
As a man, don't take the role of savior; unless you're married to her and in a mutually beneficial long term relationship, it is not your responsibility to save her from herself. Women use a man's Savior Complex as a means to exploit him for his financial resources.
 
Jeiefu bhana kunahitaji timetable kabisa..

Yaani muda fulani hadi fulani nitakuwa Jeiefu...

Watu wamekuwa wa hovyo,,, Huyu anatoa 150k mademu wagawane,, mwingine ametelekeza manzi kisa gharama ya lodge ni150k.. hapo bado yule wa last year wa nauli ya Elfu saba analia lia..,, Huyu anajimwambafai kula mademu wawili, mwenzake anafukukua makaburi ya nzuri zilizopita

Vituko sana jeiefu...
 
Habari wadau,

Ukiambiwa mjini starehe gharama usikodoe macho .

Kama ilivoada jana nilitoka out peke yangu nikaenda kidimbwi kumalizia weekend.Nilitoka kwangu mida ya saaa tatu usiku nikafika nikakaa maeneo ya kaunta nilimkuta mshikaji mmoja na madem wawili wanakula kilaji.Mwamba alikunywa safari madem wote walikunywa savana.

Niliagiza moet nikaanza kula taratibu wale alafu sina habari na dem .Jirani yangu aliwaagizia wale madem savana 5 kila mmoja nikaona akatoa waleti kwa mbali mchuzi umeelekea mwisho nikajisemea kwa hawa madem ninavowaona hafiki nao mbali.

Wadau kufika muda wa saa saba usiku madem wanataka waongezwe pombeee jamaaa hana pesa anataka waondoke madem wakagoma ondoka mwenyewe kikukweli vilikuwa ni visu vya hatari rangi ya mtume.

Mimi nikasimama nikanza kucheza cheza sina habari mtoto mmoja akaniletea kiuno wadau nikakipasa na akanisusia trakooo loteee wote mmoja wapo kati ya yule aliekuwa dem wa mshikaji.Nikamuita muhudumu wape savana 10 wakuuuu wote wawili walihamia kwangu mshikaji alipata hasira akasepa.

Wamenikatikia nikasema mida ya saa 10 msinitie nyege tuondokeni .Tukaingia kwenye gari hadi Hotel nimewala wote tena show ya kibabe,nimewaachia 150 wagawane.

Wameshukuru kichizi kumbe ni watoto wa chuo mshikaji aliewatoa ni mwanachuo mwenzao wakaniambia huwa akibeti akishinda ndo anawatoa out wakaniambia sisi ni friends tuko second yr ukituhitaji mda wowote tuwasiliane nikawambia wasijar .
Unasema Huna habari lakini unajua sio tuu mpaka jamaa na orders za madem wake, bali mpaka hela aliyokuwa nayo na hali yake ya kiuchumi!
 
images (9).jpeg
 
Habari wadau,

Ukiambiwa mjini starehe gharama usikodoe macho .

Kama ilivoada jana nilitoka out peke yangu nikaenda kidimbwi kumalizia weekend.Nilitoka kwangu mida ya saaa tatu usiku nikafika nikakaa maeneo ya kaunta nilimkuta mshikaji mmoja na madem wawili wanakula kilaji.Mwamba alikunywa safari madem wote walikunywa savana.

Niliagiza moet nikaanza kula taratibu wale alafu sina habari na dem .Jirani yangu aliwaagizia wale madem savana 5 kila mmoja nikaona akatoa waleti kwa mbali mchuzi umeelekea mwisho nikajisemea kwa hawa madem ninavowaona hafiki nao mbali.

Wadau kufika muda wa saa saba usiku madem wanataka waongezwe pombeee jamaaa hana pesa anataka waondoke madem wakagoma ondoka mwenyewe kikukweli vilikuwa ni visu vya hatari rangi ya mtume.

Mimi nikasimama nikanza kucheza cheza sina habari mtoto mmoja akaniletea kiuno wadau nikakipasa na akanisusia trakooo loteee wote mmoja wapo kati ya yule aliekuwa dem wa mshikaji.Nikamuita muhudumu wape savana 10 wakuuuu wote wawili walihamia kwangu mshikaji alipata hasira akasepa.

Wamenikatikia nikasema mida ya saa 10 msinitie nyege tuondokeni .Tukaingia kwenye gari hadi Hotel nimewala wote tena show ya kibabe,nimewaachia 150 wagawane.

Wameshukuru kichizi kumbe ni watoto wa chuo mshikaji aliewatoa ni mwanachuo mwenzao wakaniambia huwa akibeti akishinda ndo anawatoa out wakaniambia sisi ni friends tuko second yr ukituhitaji mda wowote tuwasiliane nikawambia wasijar .
sawa
 
As a man, don't take the role of savior; unless you're married to her and in a mutually beneficial long term relationship, it is not your responsibility to save her from herself. Women use a man's Savior Complex as a means to exploit him for his financial resources.
thanks for your advice Iam really appreciate
 
Back
Top Bottom